Khaaa,hao wachezaji umewapeleka wewe huko?kweli uto ni uto tu.Mzee wa ugali sukari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia[emoji23][emoji23][emoji23]
Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda
Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja[emoji57]
Hujui chama huwa anatokea winga pia??Uzuri kama Chama amemkubali itakuwa rahisi hawa wawili kushea namba, mmoja akitokea benchi.
Kumeisaidiaje?Aende hata kesho kama anaweza. Kwanza kutoroka kwake kambini, kumeisaidia Yanga kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya ndani, na yale ya Kimataifa.
mjini hapa ukiwa unakula raha na kazi huna ujue mtu anapigwa ukuni hapoDogo anakula raha tu katika fukwe mbalimbali now....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utaumia sanaView attachment 2622110
Tunakula bataKumeisaidiaje?
Anakula raha gani? Huoni alivyokonda na stress kibaoDogo anakula raha tu katika fukwe mbalimbali now....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utaumia sanaView attachment 2622110
Itakuwa bora zaidi akianza kupumzishwa mara kwa mara au siku gemu zikimkataa, timu iwe na option nyingine. Wanaweza pia kucheza pamoja kama unavyosema.Hujui chama huwa anatokea winga pia??
Yaan Jean Baleke aende Antalanyaspor[emoji15]
Aise rudisha kishkwambi kwa mkuu wako wa shule[emoji1787]
miquison yuko wapi mkuu? kelvin john je?Yaan Jean Baleke aende Antalanyaspor[emoji15]
Aise rudisha kishkwambi kwa mkuu wako wa shule[emoji1787]
AiseeeeeMzee wa ugali sukari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia[emoji23][emoji23][emoji23]
Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda
Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja[emoji57]
You've nailed it...!!!Muhimu kijana acheze ,iwe Simba au popote japo kwa wachezaji wa ndani naona ni mtu bora kuingia kwenye role fulani pale Simba , tunakosa magoli ya maamuzi ya watu wa kariba yake
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Chama ndio anapanga kikosi! hii timu ya wahuni aseeUzuri kama Chama amemkubali itakuwa rahisi hawa wawili kushea namba, mmoja akitokea benchi.
Mungu fundi sana kila jambo linapotokea wakati mwingine ni kumuomba Mungu tu, sasa ile nafasi yake kuna mtu anakwenda kupata riziki yake.Aende hata kesho kama anaweza. Kwanza kutoroka kwake kambini, kumeisaidia Yanga kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya ndani, na yale ya Kimataifa.
Bangi mbaya sana.Mzee wa ugali sukari😂😂😂😂wenzio huko wanakimbia posho hakuna ,makombe hakuna ,wewe unapakimbilia😂😂😂
Inonga katimkia KAIZER CHIEFS
Zimbwejr katimkia ORLANDO PIRATES
Baleke katimkia Antalaspol ya TURKEY
Onyango katimkia KENYA
Sakho anaenda WYDAD AC
Phili ameenda Atletico de Luanda
Wewe nenda kacheze mzee bocco na ntibanzokiza muishushe timu daraja😏
Amesajiliwa Mudathir ambaye kaisaidia timu kupata ushindi katika baadhi ya mechi muhimuKumeisaidiaje?
Tulia bwana, unadhani ni rahisi kiasi hicho??swala lake ni Tata na si rahisi kihivyo.View attachment 2622326
Inasemekana msimu ujao atachezea Simba SC huku jambo lake likiendelea kutafutiwa ufumbuzi.
Nimeumia sana, bora angeenda kuchezea hata Azam FC ila sio kwa Simba.
Uko ndani ya mada mkuu wala usihofuNje ya mada.
Hivi hivyo visendo ni lazima ununue visivyokutosha?? Naona mabarobaro unyayo mzima uko nje.
Chama ndiyo anapanga hadi nani akae benchi, ulikuwa hujui?Chama ndio anapanga kikosi! hii timu ya wahuni asee