Simba wafanikiwa kumrubuni Feisal Salum

Khaaa,hao wachezaji umewapeleka wewe huko?kweli uto ni uto tu.
 
Hujui chama huwa anatokea winga pia??
Itakuwa bora zaidi akianza kupumzishwa mara kwa mara au siku gemu zikimkataa, timu iwe na option nyingine. Wanaweza pia kucheza pamoja kama unavyosema.
 
Aiseeeee
 
Aende hata kesho kama anaweza. Kwanza kutoroka kwake kambini, kumeisaidia Yanga kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya ndani, na yale ya Kimataifa.
Mungu fundi sana kila jambo linapotokea wakati mwingine ni kumuomba Mungu tu, sasa ile nafasi yake kuna mtu anakwenda kupata riziki yake.
 
Kaondoka tu na Yanga ikaanza kutakata. Binafisi nawaomba Yanga wasimrudishe huyu gundu. Anaweza akawa mchezaji mzuri lakini asiye na Baraka. Hana tofauti na Pogba au Eden Hazard

Wewe Muite ufahamu wako mdogo wewe
 
Bangi mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…