Simba wafanikiwa kumrubuni Feisal Salum

Wewe Muite ufahamu wako mdogo wewe
Narudia kukazia kuwa Feisal angekuwepo bado huenda Yanga isingechukuwa ubingwa ligi kuu na isingefika nusu fainali kombe la Shirikisho .

By niliye na ufahamu mdogo
 
Narudia kukazia kuwa Feisal angekuwepo bado huenda Yanga isingechukuwa ubingwa ligi kuu na isingefika nusu fainali kombe la Shirikisho .

By niliye na ufahamu mdogo

Mpaka hapo mnachukua kombe yeye ana msaada wake
 
Halafu timu yenye posho haijaweza kupeleka mchezaji hata mmoja nje ya nchi.... Haya ni maajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…