Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
MnatesekaBila shaka ndo huyu huyu best. π
Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na MasikioniTujifunze kuweka akiba ya maneno ili kuepuka na aibu ndogo ndogo ambazo zinasababishwa na shobo
Mtaniiiiiiii nakutafutaaaaaaaa, mbona sikuoniiiiii.Bila shaka ndo huyu huyu best. [emoji23]
[emoji22][emoji32][emoji32]Modes piga hii mbwaa Ban ya kushatoooo. Pumbavuuu zakee.
Sisi Simba Fans tunaamini game is for fun.Mods aliye na pingu ya Ban anza kujiandaa kuondoka na mtuhumiwa wako filimbi ya mwisho ikifika
Hahahahaaa. Lol.Mtaniiiiiiii nakutafutaaaaaaaa, mbona sikuoniiiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], njoo ukiwa na list ya mnaoteseka, nina dawa yenu tena kiboko kabisaaa.
Nawasubiriiiiiiiiii
JF imevamiwa na watoto wa FacebookJapo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
SAWA MKUU WAKUPIGE BAN AU???Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Atapita kwa taabu eeehKola atapita lakini kwa taaaabu saaaanaaaaπ€
Wee ni wa kupigwa ban, nyokoooo zako.
Hahahaa. Lol.Mnateseka
Uuwiiii!Wee ni wa kupigwa ban, nyokoooo zako.
Walale? Wanalala kwa amani au raha gani waliyonayoo? Yaan leo ni kuwapa heka heka mwanzo mwisho.Hahahahaaa. Lol.
Nawafikiria tu wale uliowapania sijui kama watalala leo. [emoji23][emoji23]
ππ Kwa hali hii ndo mnasemaga mmeizowea robo Mtani. πMtaniiiiiiii nakutafutaaaaaaaa, mbona sikuoniiiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], njoo ukiwa na list ya mnaoteseka, nina dawa yenu tena kiboko kabisaaa.
Nawasubiriiiiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtanii nimevurugwaa vibayaa leo,Uuwiiii!