Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Bila shaka ndo huyu huyu best. [emoji23]
Mtaniiiiiiii nakutafutaaaaaaaa, mbona sikuoniiiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], njoo ukiwa na list ya mnaoteseka, nina dawa yenu tena kiboko kabisaaa.

Nawasubiriiiiiiiiii
 
Mtaniiiiiiii nakutafutaaaaaaaa, mbona sikuoniiiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], njoo ukiwa na list ya mnaoteseka, nina dawa yenu tena kiboko kabisaaa.

Nawasubiriiiiiiiiii
Hahahahaaa. Lol.

Nawafikiria tu wale uliowapania sijui kama watalala leo. πŸ˜‚πŸ˜‚
 
JF imevamiwa na watoto wa Facebook
 
SAWA MKUU WAKUPIGE BAN AU???
AU NDIO MAHABA NA YANGA YALIZIDI??
 
Hahahahaaa. Lol.

Nawafikiria tu wale uliowapania sijui kama watalala leo. [emoji23][emoji23]
Walale? Wanalala kwa amani au raha gani waliyonayoo? Yaan leo ni kuwapa heka heka mwanzo mwisho.

Kuna huyu alijifanya yeye mjuaji sana, kesho namuibukia kwake nkamsuuze vyediii, nikitoka hapo rohoo kwatuuuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtaniiiiiiii nakutafutaaaaaaaa, mbona sikuoniiiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], njoo ukiwa na list ya mnaoteseka, nina dawa yenu tena kiboko kabisaaa.

Nawasubiriiiiiiiiii
πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwa hali hii ndo mnasemaga mmeizowea robo Mtani. πŸ˜‚

Mbona kama hujateggemmeeea hiivvviii. Lol πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…