Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Mtaniiiiiiii nakutafutaaaaaaaa, mbona sikuoniiiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], njoo ukiwa na list ya mnaoteseka, nina dawa yenu tena kiboko kabisaaa.

Nawasubiriiiiiiiiii
Hahahahaaa. Lol.

Nawafikiria tu wale uliowapania sijui kama watalala leo. 😂😂
 
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.

Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
JF imevamiwa na watoto wa Facebook
 
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.

Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
SAWA MKUU WAKUPIGE BAN AU???
AU NDIO MAHABA NA YANGA YALIZIDI??
 
Hahahahaaa. Lol.

Nawafikiria tu wale uliowapania sijui kama watalala leo. [emoji23][emoji23]
Walale? Wanalala kwa amani au raha gani waliyonayoo? Yaan leo ni kuwapa heka heka mwanzo mwisho.

Kuna huyu alijifanya yeye mjuaji sana, kesho namuibukia kwake nkamsuuze vyediii, nikitoka hapo rohoo kwatuuuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtaniiiiiiii nakutafutaaaaaaaa, mbona sikuoniiiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], njoo ukiwa na list ya mnaoteseka, nina dawa yenu tena kiboko kabisaaa.

Nawasubiriiiiiiiiii
😂😂 Kwa hali hii ndo mnasemaga mmeizowea robo Mtani. 😂

Mbona kama hujateggemmeeea hiivvviii. Lol 😂😂
 
Back
Top Bottom