Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Huyu jamaa kama hajapigwq basi Mods wana undugu nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata marafiki ...Leo mnakuwa hatersLabani og upigwe tu ban hakuna namna uliyata mwenyewe!
Uende ukaoshe vyombo na uchawi wako.Fanya haraka!Ole wako uzimie jikoni.
ActiveJapo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Acha mkuuHii nguchiro inasubiri nini Moderator
Mods tekelezeni wajibuJapo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Mimi ni mwananchi ila sina utoto huu kama wako
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
😂😂😂Jamaa alichoka kula mbususu huyu 😂😂Mwenzake huyu hapa🤣🤣
Mods msichoke yupo aliyeomba ban,na vigezo vyake vimetimia🏃♂️🏃♂️🏃♂️🤸🤸🤸Kuchosha mods tu
Huyo ni Ntu na sii mbusi🤓Hii mbuzi bado ipo humu???
Kaputa lia kwa taaabu baaada ya masimango ya mtani ya kumhamasisha🤓Atapita kwa taabu eeeh
Hahahaaa. Kama nakuona ulivyomshushua. Lol.Cna mda wa kulala mtaniii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mtani umemuonaa Chamaaaa? Kuna shabiki wa uto, aliropoka "huyu chama akiwa team 1 na pacome bas unyama sana"
Nkamkata juu kwa juu "na mtamsajiri kila mwaka ila anacheza simba, tutolee uchuro wa majini uchwara hapa" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wote wamecheka had baas, nilikua home, kipindi cha pili nkaenda zangu banda umiza nkasumbue vzuri waja.
Eti msiniminye korodani 😂😂Mwenzake huyu hapa🤣🤣
Khaaa.Jini Subiani punguza masononeko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbna nshasema simu alikuwa anachezea mtoto ...nahisi ndiye aliyepost....Mimi ni mwananchi ila sina utoto huu kama wako
Uliomba ban mwenyewe
Mtani una gubu 🤣🤣Kaputa lia kwa taaabu baaada ya masimango ya mtani ya kumhamasisha🤓
ID yako inataka kufanana na Madenge II 😂Mbna nshasema simu alikuwa anachezea mtoto ...nahisi ndiye aliyepost....
Mwenyewe nmeshtuka kuona thread hii
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app