Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni nyuma mwiko ya Simba yanakuhusu nini? Tuondolee uzumbukuku wako hapa.Simba na Coastal union watashiriki kombe la Losers msimu ujao, kiufupi Simba na Coastal wako level moja sasa hivi.
Azam wako level moja na Yanga.
Kwahiyo Simba wanatakiwa wakae na Coastal wapange mikakati ya namna ya kutoboa kombe la Losers.
Ndio maana wanasajili wachezaji wa kawaida mno, wachezaji ambao hawana tofauti na wale wanaosajiliwa na Coastal au Singida Black Stars, hata Singida wanasajili vzr kuliko mnyama.
This is an out and out disgrace.
Simba hakuna boya kama huyo mlugaluga nyuma mwiko kabisa huyoMwana Simba mwenzako huyo Mkuu.
Ujumbe huu umfikie mzee most talented charisma fellaSimba na Coastal union watashiriki kombe la Losers msimu ujao, kiufupi Simba na Coastal wako level moja sasa hivi. Azam wako level moja na Yanga.
Kwahiyo Simba wanatakiwa wakae na Coastal wapange mikakati ya namna ya kutoboa kombe la Losers.
Ndio maana wanasajili wachezaji wa kawaida mno, wachezaji ambao hawana tofauti na wale wanaosajiliwa na Coastal au Singida Black Stars, hata Singida wanasajili vzr kuliko mnyama.
This is an out and out disgrace.
Zamu kwa zamuuuu😅Kama Utopolo walikua wanaogelea huko kwa miaka kadhaa kuna ubaya gani Simba ikiwa huko...