Simba walienda uwanjani kutafuta sababu ya kugoma kucheza, waadhibiwe tu

Simba walienda uwanjani kutafuta sababu ya kugoma kucheza, waadhibiwe tu

Yanga ilicheza na tabora wakiwa na majeruhi kibao na kadi. Kama wangekuwa Simba wangekula kona.
Vipi walipocheza na JKT,hao majeruhi walikuwepo?hao majeruhi ndio wamefanya wakatolewa kimataifa? wakati mnaota kuifunga Simba 7-0,Lini hiyo timu yako iliifunga Simba 5-0 tu?mmefungwa 5-0 hamjalipa hadi sasa, achilia mbali zile 6
Unafahamu kuwa bodi ya ligi inawasubiri Camara na Che malone wapone ndio wapange tarehe ya mchezo kurudiwa?
Kwa ushahidi upi?Unafahamu kuwa Yanga waliloga sana uwanja kwa kufukia matunguli na Simba usiku ule walikwenda kufukua matunguli yenu ndio maana makomandoo wa Yanga walijigeuza walinzi wa uwanja wakilinda matunguli?Manawezaje kuruka ukuta kwenye mechi liyoahirishwa na mpo peke yenu?
 
Unafahamu kuwa bodi ya ligi inawasubiri Camara na Che malone wapone ndio wapange tarehe ya mchezo kurudiwa?

Yanga wawe makini sana na bodi ya ligi, itawaingiza Yanga kwenye mtego wa kuipa Simba points 3. Yanga lazima wadai haki yao sasa sasa na leoleo kabla bodi ya ligi haijapanga trh ya kurudiwa kwa mechi, la sivyo.....
Hakuna namna Yanga watapata points 3 za mezani,points zinapatikana uwanjani,wanasema Simba waliogopa kufungwa lakini wao wanafanya uoga ule ule.Walioandika ile taarifa ya bodi wana akili sana,Yanga hawana sehemu ya kutokea kwa sababu kanuni waliyoinukuu inawapa mamlaka ya kuahirisha mechi na kitengo cha sheria cha Yanga kinafahamika kwa uwezo wake mdogo
 
Baada ya kukikagua kikosi chao na kile cha Yanga, Simba walijua kuwa hawako tayari kucheza derby na kufungwa tena na yanga kwa mara ya 5 mtawalia, ila hawakujua wataanza vipi kuacha kupeleka timu uwanjani siku ya mechi. Baada ya kutafakari sana wao wenyewe na kuwasiliana na baadhi ya wajumbe walioko kwenye bodi ya ligi ambao ni Simba allies, ndiyo wakaja na mpango huu wa kwenda uwanjani usiku bila kutoa taarifa pahala pooopooote pale ili wakute jambo litakalowapatia sababu (nyepesi) ya kugomea mechi.

Baada ya kukuta geti la uwanja limefungwa hawakutaka kuhangaika na kupata maoni na ushauri kutoka uongozi wa uwanja (BMT, Wizara), TFF/Bodi ya ligi wala vyombo vya dola (kamanda wa polisi Dar) ingawa uwezo wa kufanya hivyo walikuwa nao. Hawakutaka kupata maoni ya watu hao kwasababu wangesababisha geti lifunguliwe na kukosa hoja ya kugomea mechi.

Ingawa kanuni ipo ya kuruhusu timu ngeni kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa mechi siku moja kabla ya mechi lakini kanuni hii kwa hapa kwetu Tanzania ni optional; sio mandatory (lazima) kwamba lazima timu zote kwenye ligi zifanyike mazoezi ya mwisho la sivyo mechi itaahirishwa. Kwanini simba mara hii waliigeuza kanuni hii kuwa ni mandatory (pre-requisite) ya kucheza mechi na Yanga tarehe 8?, Je, Simba huwa mechi zake zoooote ilizocheza huko nyuma zimetanguliwa na kufanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa mazoezi kabla ya mechi? Kama sio, kwanini iwe ni lazima safari hii kwenye mechi hii?

Kulikuwa na dhamira (maandalizi) ya Simba kugomea kupeleka timu uwanjani. Yanga ipewe points zake 3 na simba lolote liwakute kwa mujibu wa kanuni za ligi na sheria za nchi kwa walioathirika na uwahirishwaji wa mechi.
💩
 
Vipi walipocheza na JKT,hao majeruhi walikuwepo?hao majeruhi ndio wamefanya wakatolewa kimataifa? wakati mnaota kuifunga Simba 7-0,Lini hiyo timu yako iliifunga Simba 5-0 tu?mmefungwa 5-0 hamjalipa hadi sasa, achilia mbali zile 6

Kwa ushahidi upi?Unafahamu kuwa Yanga waliloga sana uwanja kwa kufukia matunguli na Simba usiku ule walikwenda kufukua matunguli yenu ndio maana makomandoo wa Yanga walijigeuza walinzi wa uwanja wakilinda matunguli?Manawezaje kuruka ukuta kwenye mechi liyoahirishwa na mpo peke yenu?
Hakuna uchawi kwenye mpira, ila Kuna dawa za kusisimua misuli na kulegeza misuli(pulizapuliza vyumbani kwa mpinzani). Uchawi ni hisia TU kama zile za kinjekitile na vita vya majimaji vya risasi kugeuka maji.
 
Back
Top Bottom