Mister mimi
Member
- Apr 29, 2018
- 89
- 106
Kwa maana kanuni inasema timu mgeni ana haki ya kufanya mazoezi katika uwanja utakaochezewa mechi angalau SIKU MOJA kabla ya mechi.
Sasa swali ni je simba walienda kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi? siku za kisoka zinahesabiwaje? Kwa mfumo wa masaa 24,48,72? Au zinahesabiwa kwa mfumo wa j3,j4,j5...?
Kama zinahesabiwa kwa mfumo wa j3,j4...., simba wako sawa kama tu walimtaarifu mwenyeji ili awaachie mlango wazi.ila kama zinahesabiwa kwa mfumo wa saa 24,basi simba hawakwenda siku moja kabla,bali walienda siku husika ya mchezo.
Na je,ikitokea kama ilivotokea leo kanuni zinaruhusu timu kususia mchezo?
Nani mwenye mamlaka kikanuni ya kuvunja mchezo?
Mamlaka ya kuvunja mchezo simba ameyatoa wapi?
Kwahiyo ukiijua tu sheria unaruhusiwa kujichukulia maamuzi?
Aaah au basi! Soka letu kivyetu vyetu!
Hakuna anayejali muda,hisia na pesa walizotumia mashabiki na wadau!
Sasa swali ni je simba walienda kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi? siku za kisoka zinahesabiwaje? Kwa mfumo wa masaa 24,48,72? Au zinahesabiwa kwa mfumo wa j3,j4,j5...?
Kama zinahesabiwa kwa mfumo wa j3,j4...., simba wako sawa kama tu walimtaarifu mwenyeji ili awaachie mlango wazi.ila kama zinahesabiwa kwa mfumo wa saa 24,basi simba hawakwenda siku moja kabla,bali walienda siku husika ya mchezo.
Na je,ikitokea kama ilivotokea leo kanuni zinaruhusu timu kususia mchezo?
Nani mwenye mamlaka kikanuni ya kuvunja mchezo?
Mamlaka ya kuvunja mchezo simba ameyatoa wapi?
Kwahiyo ukiijua tu sheria unaruhusiwa kujichukulia maamuzi?
Aaah au basi! Soka letu kivyetu vyetu!
Hakuna anayejali muda,hisia na pesa walizotumia mashabiki na wadau!