Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Tumia akili yako vizuri, unataka kwenda kwenye uwanja ambaoKanuni gani inayomtaka simba kuandika barua bado kwenye hicho kifungu hakuna hayo maelezo yakuandika barua
1. Huna ufunguo wa mageti
2. Taa zinawashiwa wapi hujui
Unategemea usipowasiliana na yeyote ufunguo utaupata wapi? Nani atajua kwamba leo ndo unakuja??