Simba walitoa taarifa rasmi kwa timu mwenyeji kuwa saa 1:15 watautumia uwanja?

Simba walitoa taarifa rasmi kwa timu mwenyeji kuwa saa 1:15 watautumia uwanja?

Kanuni gani inayomtaka simba kuandika barua bado kwenye hicho kifungu hakuna hayo maelezo yakuandika barua
Tumia akili yako vizuri, unataka kwenda kwenye uwanja ambao
1. Huna ufunguo wa mageti
2. Taa zinawashiwa wapi hujui
Unategemea usipowasiliana na yeyote ufunguo utaupata wapi? Nani atajua kwamba leo ndo unakuja??
 
Simba iliwasiliana na wenye uwanja tukiwa uwanjani kama kungekuwa na sababu za kushindwa kuturuhusu kuingia wangeziweka wazi sio kusema hamkutoa taarifa ni nani anajua simba alitakiwa taarifa na ni masaa mangapi kabla hiyo taarifa?
Sa si uweke ushahidi kwamba mlitoa taarifa kabla..!! Unaedna kuwasiliana ukiwa umeshafika uwanjani, muda wa kikanuni unakuwa umeisha.
 
Tumia akili yako vizuri, unataka kwenda kwenye uwanja ambao
1. Huna ufunguo wa mageti
2. Taa zinawashiwa wapi hujui
Unategemea usipowasiliana na yeyote ufunguo utaupata wapi? Nani atajua kwamba leo ndo unakuja??
Kufungua mageti na kuwasha taa inachukua masaa mangapi?
Baada ya kupewa taarifa Simba wamefika uwanjani walichukua uamuzi gani?
Simba hawakukuta mageti yamefungwa ila wamezuiwa kuingia hata ripoti ya bodi ya ligi inaeleza hivyo kuwa simba wamezuiwa na watu wa usalama wa yanga maarufu kama mabaunsa
 
Kufungua mageti na kuwasha taa inachukua masaa mangapi?
Baada ya kupewa taarifa Simba wamefika uwanjani walichukua uamuzi gani?
Simba hawakukuta mageti yamefungwa ila wamezuiwa kuingia hata ripoti ya bodi ya ligi inaeleza hivyo kuwa simba wamezuiwa na watu wa usalama wa yanga maarufu kama mabaunsa
Kufungua mageti na kuwasha taa, inategemea kama mtu yupo karibu wakati wa muda wa kikanuni. Kama unayemuhitaji kwa wakati huo yupo Kibaha, unategemea awahi muda wa kikanuni unaotajwa?
 
Uelewa wako unatia utata,kanuni inasema timu mgeni ikafanye mazoezi uwanja ule ule Muda wa mechi ule ule je Kuna haja gani kutoa taarifa? Wewe mwenyeji ni jukumu lako kuwepo mbona walikuwepo kuwazuia simba wasiingie? YANGA NI MABINGWA WA KUCHEZA MECHI NJE YA UWANJA,SIMBA WAMEFANYA TATHIMINI NA KUJA NA SLOGAN YA UBAYA UBWELA.
 
Kufungua mageti na kuwasha taa, inategemea kama mtu yupo karibu wakati wa muda wa kikanuni. Kama unayemuhitaji kwa wakati huo yupo Kibaha, unategemea awahi muda wa kikanuni unaotajwa?
Kama mageti yalikuwa yamefungwa na hakuna mtu anayeweza kuingia mpaka huyo mwenye funguo atoke kibaha (mfano wako) hao mabaunsa wa Yanga walikuwa wanazuia nini na geti limefungwa au walikuwa wanalinda nini? Kwanini wasingewaacha Simba waone watapitia wapi na mageti yakiwa yamefumgwa
 
Uelewa wako unatia utata,kanuni inasema timu mgeni ikafanye mazoezi uwanja ule ule Muda wa mechi ule ule je Kuna haja gani kutoa taarifa? Wewe mwenyeji ni jukumu lako kuwepo mbona walikuwepo kuwazuia simba wasiingie? YANGA NI MABINGWA WA KUCHEZA MECHI NJE YA UWANJA,SIMBA WAMEFANYA TATHIMINI NA KUJA NA SLOGAN YA UBAYA UBWELA.
Ndio tumuulize kama muda huo uwanja ulifungwa na hakuna mtu wa kuingia hao walinzi wa Yanga walikuwa wanalinda nini hapo? Mali yao gani waliifungia hapo walikuwa wanailinda isiibiwe?
 
Kanuni haisemi siku moja kabla, bali angalau mara moja kabla ya mechi

View attachment 3263807
Na mara moja kabla ya mechi, it can be two days, five days, a week or just a day before. Na inasemekana walishafanya mazoezi Ijumaa, hence kigezo cha angalau mara moja kimekamilishwa.
Acha ujinga wako hapa, kanuni inasema " kabla ya siku ya mechi". Sasa Simba wameenda kufanya mazoezi siku ya mechi, period!
 
Kanuni haisemi siku moja kabla, bali angalau mara moja kabla ya mechi

View attachment 3263807
Na mara moja kabla ya mechi, it can be two days, five days, a week or just a day before. Na inasemekana walishafanya mazoezi Ijumaa, hence kigezo cha angalau mara moja kimekamilishwa.
Una ushahidi kuwa Simba walifanya mazoezi Mkapa ijumaa?
 
Ndio tumuulize kama muda huo uwanja ulifungwa na hakuna mtu wa kuingia hao walinzi wa Yanga walikuwa wanalinda nini hapo? Mali yao gani waliifungia hapo walikuwa wanailinda isiibiwe?
Kama simba wasingechukua hatua kama hizo nahisi yanga angechukua ubingwa miaka kumi mfululizo kama alivyosema manara.Udhamini wa GSM timu 8 kabla ya ligi kuanza hizo ni points 48 tayari Kwani Kwa janja yao hakuna timu itakayopata hata sare na wakati huo huo timu hizo kuikamia simba kuanzia uongozi wa mikoa mfano sakata la mkuu wa mkoa mwanza mechi kati ya pamba vs simba
 
Acha ujinga wako hapa, kanuni inasema " kabla ya siku ya mechi". Sasa Simba wameenda kufanya mazoezi siku ya mechi, period!
Kheeeee...!!! kanuni hii hapa
1741520107934.png

mara moja kabla ya siku ya mechi... it can be two days before. na simba hawakwenda siku ya mechi bro. Walienda kutfanya mazoezi tarehe 7 March 2025 na mechi ilikuwa ichezwe tarehe 8 March 2025.
 
Sasa Simba hawakuchagua siku nyingne yoyote zaidi ya siku hiyo ya mwisho kuelekea mechi sasa watuambie hao wenye uwanja kama kuna siku waliiona simba ikija kufanya mazoezi hapo tofauti na hiyo siku iliyozuiliwa
Taarifa humu inasema walienda Ijumaa kufanya mazoezi, kama walifanya tofauti na muda mechi nani wa kulaumiwa?
 
Back
Top Bottom