Simba walitoa taarifa rasmi kwa timu mwenyeji kuwa saa 1:15 watautumia uwanja?

Simba walitoa taarifa rasmi kwa timu mwenyeji kuwa saa 1:15 watautumia uwanja?

Elewa sentensi,"KABLA YA SIKU YA MCHEZO" ina maana haitakiwi kuwa siku husika ya mchezo.

Sawa,tufanye uko sawa,je wahusika wa uwanja walipewa taarifa juu ya ujio wa simba,au wahusika walitakiwa KUHISI tu kuwa simba watakuja muda wowote waache mageti wazi?
Inaonekana tunaongea lugha moja ila tu hujanielewa
 
kwenye mpira wa miguu tunaesabu siku kwa mfumo wasaa 24 Simba yuko sahihi kabisa kwa alichofanya
 
kwenye mpira wa miguu tunaesabu siku kwa mfumo wasaa 24 Simba yuko sahihi kabisa kwa alichofanya
Kama tunahesabu kwa mfumo wa saa 24, simba ana makosa yeye,na hatakiwi kumlaumu yoyote,maana kanuni inamruhusu mgeni kuutumia uwanja utakaotumika angalau mara moja KABLA YA SIKU YA MCHEZO.
hivyo ukiifata kanuni,simba muda wao wa mwisho kuutumia uwanja ilitakiwa kuwa saa1:14:59. Kama mfumo unaotumika ni wa masaa 24.
Maana Kama mchezo ni saa 1:15,na wao wanadai walienda uwanjani saa 1:15 ,basi hawakwenda SIKU MOJA KABLA,bali walienda siku husika.
 
Kwa maana kanuni inasema timu mgeni ana haki ya kufanya mazoezi katika uwanja utakaochezewa mechi angalau SIKU MOJA kabla ya mechi.

Sasa swali ni je simba walienda kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi? siku za kisoka zinahesabiwaje? Kwa mfumo wa masaa 24,48,72? Au zinahesabiwa kwa mfumo wa j3,j4,j5...?

Kama zinahesabiwa kwa mfumo wa j3,j4...., simba wako sawa kama tu walimtaarifu mwenyeji ili awaachie mlango wazi.ila kama zinahesabiwa kwa mfumo wa saa 24,basi simba hawakwenda siku moja kabla,bali walienda siku husika ya mchezo.

Na je,ikitokea kama ilivotokea leo kanuni zinaruhusu timu kususia mchezo?

Nani mwenye mamlaka kikanuni ya kuvunja mchezo?

Mamlaka ya kuvunja mchezo simba ameyatoa wapi?
Kwahiyo ukiijua tu sheria unaruhusiwa kujichukulia maamuzi?

Aaah au basi! Soka letu kivyetu vyetu!
Hakuna anayejali muda,hisia na pesa walizotumia mashabiki na wadau!

Unamwuuliza nani wewe bwegele
 
Kwenye uchawi kila konki ina konki mwenzie,hata mganda anarogwa,ndio maana mganga akiona umempelekea ishu ngumu akufukuza
Na yanga walijua Simba walikuwa kupindua uchawi mwishoni wakavuruga kikomando.
 
Simba waache kuendekeza vitendo vya ushirikina. Ona sasa wametuletea hasara kwa kuahirisha mechi, kisa tu mazindiko ya kichawi yalizuiliwa kuingizwa uwanjani.
 
kwani utopolo kanuni hamjui?taarifa ya nini?mfiche tunguri zenu!?
 
Back
Top Bottom