Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Inaonekana tunaongea lugha moja ila tu hujanielewaElewa sentensi,"KABLA YA SIKU YA MCHEZO" ina maana haitakiwi kuwa siku husika ya mchezo.
Sawa,tufanye uko sawa,je wahusika wa uwanja walipewa taarifa juu ya ujio wa simba,au wahusika walitakiwa KUHISI tu kuwa simba watakuja muda wowote waache mageti wazi?
Nasemaje, kama mimi ni mganga haweziMtu wa kijijini kwenu anaweza kukuroga na hata asifike hapo ulipo
Kwenye uchawi kila konki ina konki mwenzie,hata mganda anarogwa,ndio maana mganga akiona umempelekea ishu ngumu atakufukuzaNasemaje, kama mimi ni mganga hawezi
Inatokea,ni vema kama umenielewa,pamoja!Inaonekana tunaongea lugha moja ila tu hujanielewa
Kama tunahesabu kwa mfumo wa saa 24, simba ana makosa yeye,na hatakiwi kumlaumu yoyote,maana kanuni inamruhusu mgeni kuutumia uwanja utakaotumika angalau mara moja KABLA YA SIKU YA MCHEZO.kwenye mpira wa miguu tunaesabu siku kwa mfumo wasaa 24 Simba yuko sahihi kabisa kwa alichofanya
Ugeni wa kikanuni,ugeni wa kisoka.Je Simba na Yanga ni wageni kwenye uwanja wa Mkapa?
Kwa maana kanuni inasema timu mgeni ana haki ya kufanya mazoezi katika uwanja utakaochezewa mechi angalau SIKU MOJA kabla ya mechi.
Sasa swali ni je simba walienda kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi? siku za kisoka zinahesabiwaje? Kwa mfumo wa masaa 24,48,72? Au zinahesabiwa kwa mfumo wa j3,j4,j5...?
Kama zinahesabiwa kwa mfumo wa j3,j4...., simba wako sawa kama tu walimtaarifu mwenyeji ili awaachie mlango wazi.ila kama zinahesabiwa kwa mfumo wa saa 24,basi simba hawakwenda siku moja kabla,bali walienda siku husika ya mchezo.
Na je,ikitokea kama ilivotokea leo kanuni zinaruhusu timu kususia mchezo?
Nani mwenye mamlaka kikanuni ya kuvunja mchezo?
Mamlaka ya kuvunja mchezo simba ameyatoa wapi?
Kwahiyo ukiijua tu sheria unaruhusiwa kujichukulia maamuzi?
Aaah au basi! Soka letu kivyetu vyetu!
Hakuna anayejali muda,hisia na pesa walizotumia mashabiki na wadau!
Unamwuuliza nani wewe bwegele
Wakimaliza mazoezi wanapika,sasa ninyi njano mbuzi wa wenzenu wanawauma nini?au kwa sababu siku za karibuni mmeuza sana supu.Aanaenda kuwanga uwanjani Kuku na Mbuzi unapeleka uwanjani kufanya nini?
Hahahaha,wanapika DakuWakimaliza mazoezi wanapika,sasa ninyi njano mbuzi wa wenzenu wanawauma nini?au kwa sababu siku za karibuni mmeuza sana supu.
Nasikia kulikuwa na vibabu vikisadikika kuwa ni vi sangoma vikiambata na timu.atoe taarifa wakati alikuwa kabeba kondoo na mbuzi kwenye bus
Na yanga walijua Simba walikuwa kupindua uchawi mwishoni wakavuruga kikomando.Kwenye uchawi kila konki ina konki mwenzie,hata mganda anarogwa,ndio maana mganga akiona umempelekea ishu ngumu akufukuza
Dabi mchezoHahahaha,wanapika Daku
Je Jana mvua kubwa ingeli nyesha Simba SC wangelifanya mazoezi na leo kugoma kuja uwanjani?Ugeni wa kikanuni,ugeni wa kisoka.
HahahahaDabi mchezo
Mvua inahusikaje na kugoma, uchawi wa hivi vilabu ndo shida ya yote.Je Jana mvua kubwa ingeli nyesha Simba SC wangelifanya mazoezi na leo kugoma kuja uwanjani?