Simba wameamua kupuuzia mechi na Yanga? Hili jambo nalo pia linatutesa sisi Yanga

Simba wameamua kupuuzia mechi na Yanga? Hili jambo nalo pia linatutesa sisi Yanga

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Sijaelewa, kwanini Ali Kamwe ahangaishwe na ukimya wa Simba? Nimekuja gundua wakati sisi Yanga tunahangaika sana na hii mechi wenzetu wanaichukulia ni mechi ya kawaida tu.

Hawajaamua kuwekeza nguvu nyingi sana, jambo ambalo pia ni kama limeanza kututesa. Ali Kamwe limemgusa, anaona kama jamaa wamenyamaza na hawatoi kiki. Yanga nasi tujikite katika mechi za Kimataifa zaidi.

Najua povu litawatoka watu, acha limwagike tu.
 
Mkuu.. Mnyama Mkali Mwituni Simba SC mawazo yake makuu ni Giant gani mwenzake atapangwa nae katika Group za CAFCL.

Tarehe 23/10 Simba SC atakua anafanya mazoezi na kuwapa nafasi ya kucheza wachezaji kama Akpan, Okwa na Kapama ambao hua hawapati mda sana wa kucheza.
 
Sijaelewa. Why Ali Kamwe ahangaishwe na Ukimya wa Simba? Nimekuja gundua wakati sisi Yanga tunahangaika sana na hii match wenzetu wanaichukulia ni match ya kawaida tu.

Hawajaamua kuwekeza nguvu nyingi sana. Jambo ambalo pia ni kama limeanza kututesa. Ali Kamwe limemgusa. Anaona kama jamaa wamenyamaza na hawatoi kiki. Yanga nasi tujikite katika matches za Kimataifa zaidi.

Najua povu litawatoka watu...acha limwagike tu.
IMG-20221021-WA0179.jpg
 
Mkuu.. Mnyama Mkali Mwituni Simba SC mawazo yake makuu ni Giant gani mwenzake atapangwa nae katika Group za CAFCL.

Tarehe 23/10 Simba SC atakua anafanya mazoezi na kuwapa nafasi ya kucheza wachezaji kama Akpan, Okwa na Kapama ambao hua hawapati mda sana wa kucheza.
Ila ushindi lazima
 
Sijaelewa. Why Ali Kamwe ahangaishwe na Ukimya wa Simba? Nimekuja gundua wakati sisi Yanga tunahangaika sana na hii match wenzetu wanaichukulia ni match ya kawaida tu.

Hawajaamua kuwekeza nguvu nyingi sana. Jambo ambalo pia ni kama limeanza kututesa. Ali Kamwe limemgusa. Anaona kama jamaa wamenyamaza na hawatoi kiki. Yanga nasi tujikite katika matches za Kimataifa zaidi.

Najua povu litawatoka watu...acha limwagike tu.
Naendelea kuthibitisha umbumbumbu wa mashabiki wa nchi hii.
Kwa mfumo wa bodi ya ligi timu mwenyeji anachukua kila kitu. Na kwa nature ya utani wa Simba na Yanga kila mmoja hataki mwenzake afanikiwe. Hivyo usishangae Simba kukaa kimya maana wakiongea watwkuwa wanapromote mechi ambayo mfaidika ni Yanga. Ndo maana Yanga wanawachokoza ili waseme kuongeza mzuka wa mechi.
 
Mkuu.. Mnyama Mkali Mwituni Simba SC mawazo yake makuu ni Giant gani mwenzake atapangwa nae katika Group za CAFCL.

Tarehe 23/10 Simba SC atakua anafanya mazoezi na kuwapa nafasi ya kucheza wachezaji kama Akpan, Okwa na Kapama ambao hua hawapati mda sana wa kucheza.
Wekeni kina Okwa mpigwe ndo mtaona ukali wa mashabiki wa Simba. Kama mashabiki walisababisha timu kuondoka uwanjani baada ya dk45 tu baada ya kupigwa 4 kabla ya halftime itakuwa kipindi hiki ambacho kila kitu kinakuwa live?
 
Ila nasikia mzeee mpili jana kaonekana taifa na vimfuko kama kawaida yake. Ngoja tuone itakuwaje
 
Wekeni kina Okwa mpigwe ndo mtaona ukali wa mashabiki wa Simba. Kama mashabiki walisababisha timu kuondoka uwanjani baada ya dk45 tu baada ya kupigwa 4 kabla ya halftime itakuwa kipindi hiki ambacho kila kitu kinakuwa live?
Kweli Mashabiki wa Yanga ni wajinga

Timu gani ilifungwa 4 ikaondoka half time?

Mana kama unachukulia serious yale mabandiko kwamba Simba ilifungwa 4 mwaka 1991 ikaondoka half time hii ni ujinga tuu. Matokeo mengi mle ni ya uwongo na hata hiyo mechi mpaka inakatika ilikuwa 0-0
 
Hii match mwenyeji ni Yanga ambae atachukua mapato yote,sasa unataka ali kamwe asihamasishe watu wake,mpira biashara kwa sasa,simba wako kimya kihamsishaji lkn huko kwingine wanajianda kwa ajili ya hii mechi
 
Back
Top Bottom