Simba wameanza kuweweseka asubuhi na mapema

Simba wameanza kuweweseka asubuhi na mapema

Namna anavyo zungumza MO kuhusu soka nimeamini uyu jamaa hajuilolote kuhusu soka, pia Nina wasiwasi ata biashara anazo endesha kuna watu wazuri kwenye uendeshaji wa kampuni za familia yake ambao Wana msaidia, Hans Pop naye Kama MO upstair hamna kitu Ila kunawatu smart Wana msaidia kukwepa kodi na ujanjaujanja wa mjini ndio maana anaweza kumudu kuendesha ma kampuni.
Kwa ujumla awa jamaa wakiwa wanaongea utagundua kichwani kuna vitu haviendani na status zao. Kwenye masuala ya soka ndio hamna kitu kabisa.
Ismail Lage japo ni mjanjamjanja anawaacha mbali sana awa jamaa katika uelewa wa mambo kwa ujumla wake.
 
Namna anavyo zungumza MO kuhusu soka nimeamini uyu jamaa hajuilolote kuhusu soka, pia Nina wasiwasi ata biashara anazo endesha kuna watu wazuri kwenye uendeshaji wa kampuni za familia yake ambao Wana msaidia, Hans Pop naye Kama MO upstair hamna kitu Ila kunawatu smart Wana msaidia kukwepa kodi na ujanjaujanja wa mjini ndio maana anaweza kumudu kuendesha ma kampuni.
Kwa ujumla awa jamaa wakiwa wanaongea utagundua kichwani kuna vitu haviendani na status zao. Kwenye masuala ya soka ndio hamna kitu kabisa.
Ismail Lage japo ni mjanjamjanja anawaacha mbali sana awa jamaa katika uelewa wa mambo kwa ujumla wake.
Hata jina alilowaita Rage linawafaa sana watu aina ya Hans Pope
 
Ukweli mchungu kumeza mkuu.
Namna anavyo zungumza MO kuhusu soka nimeamini uyu jamaa hajuilolote kuhusu soka, pia Nina wasiwasi ata biashara anazo endesha kuna watu wazuri kwenye uendeshaji wa kampuni za familia yake ambao Wana msaidia, Hans Pop naye Kama MO upstair hamna kitu Ila kunawatu smart Wana msaidia kukwepa kodi na ujanjaujanja wa mjini ndio maana anaweza kumudu kuendesha ma kampuni.
Kwa ujumla awa jamaa wakiwa wanaongea utagundua kichwani kuna vitu haviendani na status zao. Kwenye masuala ya soka ndio hamna kitu kabisa.
Ismail Lage japo ni mjanjamjanja anawaacha mbali sana awa jamaa katika uelewa wa mambo kwa ujumla wake.
 
Namna anavyo zungumza MO kuhusu soka nimeamini uyu jamaa hajuilolote kuhusu soka, pia Nina wasiwasi ata biashara anazo endesha kuna watu wazuri kwenye uendeshaji wa kampuni za familia yake ambao Wana msaidia, Hans Pop naye Kama MO upstair hamna kitu Ila kunawatu smart Wana msaidia kukwepa kodi na ujanjaujanja wa mjini ndio maana anaweza kumudu kuendesha ma kampuni.
Kwa ujumla awa jamaa wakiwa wanaongea utagundua kichwani kuna vitu haviendani na status zao. Kwenye masuala ya soka ndio hamna kitu kabisa.
Ismail Lage japo ni mjanjamjanja anawaacha mbali sana awa jamaa katika uelewa wa mambo kwa ujumla wake.
Yule gsm aliyetangaza kufilisika akabadili jina ndio mlipaji mzuri wa kodi, ipo haja ya kuwashitaki TFF kwa adhabu waliyompa Eymael kimakosa
 
Habari!

Jana nimepata nafasi kumsikiliza kiongozi wao Mzee Zacharia Hanspope unaona kabisa hawa watani wetu wamekuwa kama mfa maji.

Mfa maji hakosi kutapatapa sasa ndio wamefikia hatua hiyo.

Na hii ni mechi ya nane mnaweweseka namna hii mara kufukuza wapishi ndani ya team.

Mara mnatafuta mchawi anaetoa taarifa za team kwa wapinzani.

Wameng'ang'ania kulaumu referees hamna kingine ukiwauliza mechi ipi? Unasikia mechi dhidi ya Tanzania Prison, Sumbawanga

Wanasahau kuna mechi ya Ruvu Shooting walipapaswa vizuri na kusahau kutafuta mwarubaini wa kupoteza hiyo mechi.

Sasa watani jiandaeni November 7 huko kuweweseka kwenu asubuhi hii wakati dawa bado hajawaingia vizuri na siku ya derby tutaongeza dawa iwaingie vizuri.

Na kama ni kisu basi siku hiyo siku kinagusa mfupa.
Mikia bado wana mpira wa kizamani sana,mara wadai wanaonewa,mara wadanganye majeruhi,mind game ya kipumbavu sana
 
Back
Top Bottom