Simba wamehujumiwa wazi kabisa

Bro umeingizwa chaka
 
SISI UTOPOLO SIO WAJINGA KAKA.
TATIZO MSIMAMO [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwanini nyie msingeleta timu saa 11 km wanaume kweli? Mlishachungulia mkaona pagumu mkakaa na tff mtuseti sisi eti saa moja nani mnaemuona mjinga hapa? Sisi wenyewe watu wa mipango km nyie msituchukulie poa
mbona hamsemi wizara pmj na TFF mnajificha TFF ili mumtetee mtu wenu
 
Yanga ni Drama Queens tu, Hakukua na sababu za kususia mechi, Walikimbia Kipigo, yawezekana kabisa ni maelekezo kutoka kwa Mganga wao wa Jadi
 
Yanga ni Drama Queens tu, Hakukua na sababu za kususia mechi, Walikimbia Kipigo, yawezekana kabisa ni maelekezo kutoka kwa Mganga wao wa Jadi
Hakuna uganga wala uchawi kwenye mpira
 
Yanga ni Drama Queens tu, Hakukua na sababu za kususia mechi, Walikimbia Kipigo, yawezekana kabisa ni maelekezo kutoka kwa Mganga wao wa Jadi
Hivi mechi haikughairishwa saa 12 jioni!? Kama ni hivyo, Simba waliongia uwanjani saa 1 kufanya nini!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…