Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Bro umeingizwa chakaMechi ya Yanga vs Azam ilibadilishwa kutoka saa 10 hadi saa 2:15 usiku na matangazo yalitolewa saa 6 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Mechi ya Yanga vs Biashara United ilisogezwa mbele kutoka saa 10 hadi saa 1 na taarifa zilizotolewa saa 8 mchana siku hiyohiyo ya mechi. Katika mabadiliko hayo ya ratiba hatukuona watu wanagomea mchezo Je, ni kweli sababu za Yanga zina mashiko
[emoji57][emoji57][emoji57]
Bongo Sihami
Mechi ya yanga na azam ilikuwa ichezwe saa 10 ikasogezwa hadi saa mbili na taarifa ilitolewa saa 6 mchana yanga hawakugoma, mechi ya yanga na biashara ilikuwa ichezwe saa 10 ikasogezwa hadi saa 1 usiku na taarifa ilitolewa saa 8 mchana na yanga hawakucheza ina maana kanuni yanga wanazijua siku wakicheza na Simba hii ni hujuma nitawaona Simba wajinga wakikubali hii mechi irudiwe
mbona hamsemi wizara pmj na TFF mnajificha TFF ili mumtetee mtu wenuKwanini nyie msingeleta timu saa 11 km wanaume kweli? Mlishachungulia mkaona pagumu mkakaa na tff mtuseti sisi eti saa moja nani mnaemuona mjinga hapa? Sisi wenyewe watu wa mipango km nyie msituchukulie poa
Hakuna uganga wala uchawi kwenye mpiraYanga ni Drama Queens tu, Hakukua na sababu za kususia mechi, Walikimbia Kipigo, yawezekana kabisa ni maelekezo kutoka kwa Mganga wao wa Jadi
Kijana mdogo unawaza mambo ya wagangaYanga ni Drama Queens tu, Hakukua na sababu za kususia mechi, Walikimbia Kipigo, yawezekana kabisa ni maelekezo kutoka kwa Mganga wao wa Jadi
Ungeonyesha hicho kipengere kuliko kutuperuzisha kitabu kizimaKanuni hizi hapa:
TFF wapo sahihi na serikali wapo sahihi. Yanga wanaiogopa simba
Hivi mechi haikughairishwa saa 12 jioni!? Kama ni hivyo, Simba waliongia uwanjani saa 1 kufanya nini!?Yanga ni Drama Queens tu, Hakukua na sababu za kususia mechi, Walikimbia Kipigo, yawezekana kabisa ni maelekezo kutoka kwa Mganga wao wa Jadi