permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Acha kurukaruka, Yanga apewe points zake kwa Simba kutoonekana uwanjani.Mtakumbuka siku kadhaa zilizopita,mmoja wa wachambuzi maandazi na chawa wa GSM,aliandika akiwashauri yanga wafanye kama walivyofanya man united,ili kuepuka kipigo kutoka kwa Simba...
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app