Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

Kwahiyo hoja kuwa hajawahi kuwa kwenye benchi la madrid ni mfu sio?

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Uwe unasoma mada na kuelewa. Mleta mada anapinga kuwa Pablo Franco hakuwahi kuwa kocha msaidizi ndani ya kikosi cha Real Madrid na mada haikusema kuwa anapinga kuwa Pablo Franco hakuwahi kuwa sehemu ya benchi la Madrid.
 
Mkuu ni mfu na wivu wa kike wa watu wa Utopolo
Mada inasema kuwa Pablo hakuwahi kuwa kocha msaidizi wa Real Madrid. Na haikusema kuwa Pablo hakuwahi kuwa kwenye benchi la Real Madrid. Muwe mnasoma na kuelewa mada kabla ya kuchangia
 
Una uhakika ni hivyo?

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Kwani wewe kusoma haujui?
Namnukuu mleta uzi " Naweka rekodi sawa, je Pablo Franco Martin amewahi kuwa kocha msaidizi wa Real Madrid?
Mwisho wa kunukuu.
Mada ni juu ya ukocha usaidizi wa Pablo Franco Martin ndani ya real Madrid na wala sio Uwepo wa Pablo Franco Martin ndani ya benchi la Madrid.
 
Honestly nmeisumbua sana Google kuhusu hili sijafanikiwa kupata jibu
 
Na mimi namnukuu huyo mleta mada
"Inachekesha wakati mwingine. Pablo Franco Martin sio tu hajawahi kuwa kocha msaidizi wa Real Madrid bali pia kufanya kazi kwenye sekta yoyote klabuni hapo."

Jichagulie jina.
 
Na mimi namnukuu huyo mleta mada
"Inachekesha wakati mwingine. Pablo Franco Martin sio tu hajawahi kuwa kocha msaidizi wa Real Madrid bali pia kufanya kazi kwenye sekta yoyote klabuni hapo."

Jichagulie jina.
Multiple ID
 
Hilooooo limeumbuka na makolo wenzio🤣🤣🤣
 
Acha upumbavu wewe mbumbumbu huyo kocha hajawahi kufanya kazi Real Madrid mjinga wewe
 
Mmepigwa Mbumbu SC kwa nini hamtaki kukubaliana na ukweli MAKOLO!!!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…