Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

Makolo mulibwanji?๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

NAWEKA REKODI SAWA

JE PABLO FRANCO MARTIN, ALIWAHI KUWA KOCHA MSAIDIZI WA REAL MADRID?.....
Yanga ni mazuzu - shaffih dauda
 
Wewe ni box aisee.. nenda transfer market usearch jina lake maana una macho lakini huoni na una masikio lakini husikii na una kichwa lakini hakina maarifa. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Mbona jamaa kaeleza vizuri kuhusu Transfer market na wikipedia??
 
Pablo hajawahi kuwa kocha msaidizi wa Real Madrid, hata kidogo.. Alikuwa pale kujenga CV yake tu, anaenda uwanjani, anawafuata makocha wa R. Madrid pembeni, ila hajawahi kuwa Assistant Coach wa Real Madrid..

Simba wameliwa bure kavu kavu, Simba mna laana mwaka huu.
 
Jamaaa anataka kushindana na internet
Shafih hakukosea kuwaita MAZUZU

 
Tutajie basi aliyekua kocha msaidizi kwa nyakati zile pale madrid ambapo pablo anadaiwa alikua msaidizi
 
Unataka kusema nini wewe zuzu

 
Mkuu acha matusi,wewe ni great thinker,njoo na ushahidi umprove wrong huyu jamaa. Wala hata hamna haja ya kutumia nguvu kubwa.
Karibu.
Nitamprove wrong baada ya kwisha mzunguko wa kwanza.
 
Wewe ni box aisee.. nenda transfer market usearch jina lake maana una macho lakini huoni na una masikio lakini husikii na una kichwa lakini hakina maarifa. ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
acha uvivu wa kusoma mbona hio ishu ya transfer market ameiongelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ