Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

acha uvivu wa kusoma mbona hio ishu ya transfer market ameiongelea
Tumwamini nani internet au mchambuzi hoya hoya

37E80160-E06F-48F0-9EFD-276A00B2CF92.jpeg
 
poor minded person kaangalie bechi la ufundi la real madrid kuanzia 31 julai 2018 huyo kocha "wenu" hayupo
Vipi wewe high minded person unataka kubishana na internet?
C'mon
 
hahahaha cv mbovuu leta official statement ya Real madrid cf
Yako iko wapi acha kukaza fuvu kijana utakufa kabla siku zako kwa makasirikio yasiyo na tija
 
Sasa kwani tatizo lipo wapi hata kama alikuwa ni muosha vyombo wa timu? Kwani ameenda Yanga?
 
Back
Top Bottom