Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #101
Ndio walivyo watu magumashi, hizo picha zinakuwa na malengo endelevu kama hivi alivyowapiga Simba.Huyu kocha kazi yake kupiga picha na watu maarufu tu.
Wewe ni box aisee.. nenda transfer market usearch jina lake maana una macho lakini huoni na una masikio lakini husikii na una kichwa lakini hakina maarifa. 🚮🚮🚮🚮
Jibu hoja za mtoa mada sio unademka tu, na wewe njoo na fact zako kama mwenzako mambo ya matusi ayatokusaidia chochote zaidi ya kuonyesha ujinga wakoKumbe Haji Manara alisema kweli huko Yanga yamejaa mazezeta tupu wenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK tu. Ushahidi ni haya mayowe wanayopiga hapa jukwaani juu ya ujio wa kocho mpya wa Simba,yaani wanaonyesha zile tabia alizosema Luc kuwa wanachoweza ni kuzomea zomea tu. Nyani wa Utopolo mnatuharibia jukwaa.
View attachment 2006553View attachment 2006554View attachment 2006555
Nawaza jinsi gani nitakukukula bila kingausiwaze kaka huu mchezo hauhitaji hasira
usiwaze kaka huu mchezo hauhitaji hasiraaNawaza jinsi gani nitakukukula bila kinga
Gonorrhea uliyonayo utaniambukizausiwaze kaka huu mchezo hauhitaji hasiraa
Mkuu nani kataja timu anayoshabikia kwenye uzi wote huuMleta mada unaonekana una jealous Sana kupitia huu Uzi ,ndio nyie wenzenu wakifanya kitu kitaa lazima mtafute kasoro .
Tufanye hajawah fundisha real Madrid Sasa wewe kipi kinakuwasha?
Utasema umedanganywa ,je Ni mangapi timu yako yanga imekudanganya na hujawah kuja na haya mashairi ya kiwaki?
Alafu wakidanganya hao Simba ndio inazuia isiwe kocha wa Simba kwamba Hana sifa za kuwa kocha?
Bac tufanye Hana sifa Kama za Nabi wa yanga ,tukubaliane kuwa nabi Ni msomi kuliko Pablo pia nabi Ana mafanikio makubwa kuliko Pablo ili Sasa nafsi yako ifurahi.
Ntakuona una akili Kama utaenda kuchimba ukweli wa kesi ya bernad Morrison na kuleta ukweli ulio nyuma ya pazia na ueleze why viongoz wa yanga hili swala la Morrison limekuwa Ni swala la kupozea vilaza wa yanga pale tu Mambo yakianza kuenda mlama?
Sijawah ona mwanaume mwenye wivu Kama wewe aisee ,yaan imekuumiza wee kusikia kocha amewah pita Madrid ,Tena huyo kocha Ni mwanaume km wewe ukaona uje na hii taka taka yako.
Labda nikukumbushe kipind manara yupo Simba unakumbuka alichowahi kuwambia Wana yanga ajabu leo kawa furaha yenu wote ,Nikisema manara alikuwa sawa aliposema yanga wenye akil Ni baba yake na kikwete pekee ntakuwa nakosea?
Huyo Pablo leo akija yanga huwez kuongea haya.
Mlikuwa mnamponda Sana chama Leo hii mnahangaika kumnasa.[emoji706][emoji706][emoji706]
usiwaze kakaa huu mchezo hauhitaji hasiraaGonorrhea uliyonayo utaniambukiza
Kocha aliwahi kufundisha ligi kuu ya Spain huyo sio mchezo, ligi yetu ya NBC hii inaweza ikafanana na ligi daraja la 4 huko Spain.Ila record yake ina mashaka sanaaa, hajawahi kukaa kwenye timu yoyote ile zaidi ya msimu mmoja, tena Getafe akashushwa na kupewa Getafe B, baada ya matokeo mabaya sanaaaa.. Yaani akipewa timu inavuruga, akipewa timu matokeo mabaya sana inakuwa, hana record yoyote nzuri kote kule, hana, fuatilia, tatizo Simba akili hakuna, kaona katoka Spain wamepanic wakajua wamepata Kocha kweli kweli, kumbe hakuna kitu, mtaona maneno yangu, subirini msimu si ndio huu
Kocha amabaye amewahi kufundisha ligi kuu ya Spain, sio wa kumbeza, ile ligi ni kubwa sana, vyovyote vile huyu ni kocha mkubwa sana kwa NBCEti CEO wa kike kwenye Football, alafu msemaji LisEngE Mwijaku, hivi timu hiyo au, subirini tushawaona mechi zenu kama 5, mmecheza hovyo sana, Coastal Union tu imewatoa jasho kufa kupona.
Aliyekuwepo Pablo Sanzi,siyo huyu wa SimbaTupe technical bench ya real Madrid 2018/2019 akiwepo huyo pablo franco Martin una zawadi nono sana mkuuu kwangu kazi kwako mzee baba tafuta hilo bench la ufundi la julen kocha mkuu alafu uangalie jina la pablo franco Martin lipo
Sina haja ya kusoma uongo na unazi wa kitopoloUmesoma habari yote aliyoandika jamaa
Pablo SanziTutajie basi aliyekua kocha msaidizi kwa nyakati zile pale madrid ambapo pablo anadaiwa alikua msaidizi
Sasa tunadanganywa na transfer market. Hivi umeishia la nne b au maana vitu vipp wazi. Hizo details zipo transfer market sio huu ugoro mnao sumbua nao hapa jf kuhusu huyu kocha wawatu. Haya tuseme hakuwa madrid alikua getafe napo lete ubishi. 🚮🚮🚮Mmedanganywa kwa ushahidi zaidi nenda kwenye huo mwaka mnaoambiwa alikuwa Real Madrid kaangalie benchi la ufundi lililokuwepo uone kama utamuona huyo Bata