Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

Huyu kocha kazi yake kupiga picha na watu maarufu tu.
Ndio walivyo watu magumashi, hizo picha zinakuwa na malengo endelevu kama hivi alivyowapiga Simba.

Hii inanikumbusha enzi za Boli zozo, baada ya Simba kupigwa kwenye fainali ya Caf na Stella Abidjan kubeba kombe uwanja wa Taifa, Simba kama kawaida yao wakazuwa kituko eti Boli zozo aliyewafunga anacheza ligi kuu Ufaransa.

Ndipo mbumbumbu wakaambiwa hawa Boli zozo wapo wanne mnamsema yupi?
Boli zozo Jean?
Boli zozo Pierre?
Boli zozo Francoise?
Boli zozo Chabout?

Basi mbumbumbu wakaishia hapo ndoto zao za kimweri.

Yaleyale yanajirudia hivi Babla ameshindwa hata kupata confirmation kwa kupiga simu kwa CEO mwenzake wa Real Madrid?
 
Eti CEO wa kike kwenye Football, alafu msemaji LisEngE Mwijaku, hivi timu hiyo au, subirini tushawaona mechi zenu kama 5, mmecheza hovyo sana, Coastal Union tu imewatoa jasho kufa kupona.
 
Jibu hoja za mtoa mada sio unademka tu, na wewe njoo na fact zako kama mwenzako mambo ya matusi ayatokusaidia chochote zaidi ya kuonyesha ujinga wako
 
Mleta mada unaonekana una jealous Sana kupitia huu Uzi ,ndio nyie wenzenu wakifanya kitu kitaa lazima mtafute kasoro .
Tufanye hajawah fundisha real Madrid Sasa wewe kipi kinakuwasha?
Utasema umedanganywa ,je Ni mangapi timu yako yanga imekudanganya na hujawah kuja na haya mashairi ya kiwaki?
Alafu wakidanganya hao Simba ndio inazuia isiwe kocha wa Simba kwamba Hana sifa za kuwa kocha?
Bac tufanye Hana sifa Kama za Nabi wa yanga ,tukubaliane kuwa nabi Ni msomi kuliko Pablo pia nabi Ana mafanikio makubwa kuliko Pablo ili Sasa nafsi yako ifurahi.
Ntakuona una akili Kama utaenda kuchimba ukweli wa kesi ya bernad Morrison na kuleta ukweli ulio nyuma ya pazia na ueleze why viongoz wa yanga hili swala la Morrison limekuwa Ni swala la kupozea vilaza wa yanga pale tu Mambo yakianza kuenda mlama?

Sijawah ona mwanaume mwenye wivu Kama wewe aisee ,yaan imekuumiza wee kusikia kocha amewah pita Madrid ,Tena huyo kocha Ni mwanaume km wewe ukaona uje na hii taka taka yako.

Labda nikukumbushe kipind manara yupo Simba unakumbuka alichowahi kuwambia Wana yanga ajabu leo kawa furaha yenu wote ,Nikisema manara alikuwa sawa aliposema yanga wenye akil Ni baba yake na kikwete pekee ntakuwa nakosea?

Huyo Pablo leo akija yanga huwez kuongea haya.
Mlikuwa mnamponda Sana chama Leo hii mnahangaika kumnasa.[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kumbe NYANI ndio wanaumia namna hii wakimuona MFALME WA NYIKA wanakocha aliefundisha GALACTICO? na tukimfukuza huyu tunamleta DI MATTEO.
UMBWA wote ikiwauma chomoeni.
ABARIKIWE EYMAEL.
 
Mkuu nani kataja timu anayoshabikia kwenye uzi wote huu
 
Kocha aliwahi kufundisha ligi kuu ya Spain huyo sio mchezo, ligi yetu ya NBC hii inaweza ikafanana na ligi daraja la 4 huko Spain.
 
Eti CEO wa kike kwenye Football, alafu msemaji LisEngE Mwijaku, hivi timu hiyo au, subirini tushawaona mechi zenu kama 5, mmecheza hovyo sana, Coastal Union tu imewatoa jasho kufa kupona.
Kocha amabaye amewahi kufundisha ligi kuu ya Spain, sio wa kumbeza, ile ligi ni kubwa sana, vyovyote vile huyu ni kocha mkubwa sana kwa NBC
 
Tupe technical bench ya real Madrid 2018/2019 akiwepo huyo pablo franco Martin una zawadi nono sana mkuuu kwangu kazi kwako mzee baba tafuta hilo bench la ufundi la julen kocha mkuu alafu uangalie jina la pablo franco Martin lipo
Aliyekuwepo Pablo Sanzi,siyo huyu wa Simba
 
Babra anajua kuwazezeta mazezeta ya Simba aka Makolo aisee.

Hata mimi timu pekee nayoshabikia ulaya ni Madrid nearly 18 yrs now,lkn swala la uwepo wa huyu jamaa pale Les Merengues sijawahi kulisikia hiyo 2018...najiuliza au labda alikuwa anasafisha vyoo tu pale!!!
[emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mmedanganywa kwa ushahidi zaidi nenda kwenye huo mwaka mnaoambiwa alikuwa Real Madrid kaangalie benchi la ufundi lililokuwepo uone kama utamuona huyo Bata
Sasa tunadanganywa na transfer market. Hivi umeishia la nne b au maana vitu vipp wazi. Hizo details zipo transfer market sio huu ugoro mnao sumbua nao hapa jf kuhusu huyu kocha wawatu. Haya tuseme hakuwa madrid alikua getafe napo lete ubishi. 🚮🚮🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…