Simba wameingizwa choo cha kike, kocha Pablo ni magumashi

Transfer market sio source ya kuaminika ni kama wikipedia tu mkuu. Leta screenshort kutoka official websites na pages za real madrid sio hizo pwampwa.

Tujifunze kuukubali ukweli hata kama unatuumiza.
Unawazimu wewe. Transfer market ni km nini..? Hembu kaoge ulale maana unaandika utopolo. Transfer market ni nini..??? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 🚮🚮🚮
 
Nd
Ameshalizingumzia kwenye uzi wake kuwa Wikipedia na Transfer market sio source za kiujanja ujanja tu sio source sahihi. Mfano kwenye Wikipedia kuna alama ipo juu ya kuedit content je unategemea nini hapo?
Nenda kaedit kule transfer market basi. 🤣🤣🤣🤣 yaani uweke habari za kuwa jamaa kapitia mwadui kule Wikipedia na transfer market u edit kote. Kama ni rahisi kama unavyofikiria ww..
 
Sasa unafikiri huko madrid wanalipwa pesa zaidi ya hiyo... tafuta mishahara ya makocha utaona
 
Mbona jamaa kaeleza vizuri kuhusu Transfer market na wikipedia??
Kaeleza maoni yake na sio ukweli sawa mzee baba basi jiongeze kwa kutumia source nyingine na usiwe biased
 
acha uvivu wa kusoma mbona hio ishu ya transfer market ameiongelea
Hisia za mwandishi sio ukweli wa mambo au hujui mwandishi kaonesha hisia zake za chuku
 
Wewe ni box aisee.. nenda transfer market usearch jina lake maana una macho lakini huoni na una masikio lakini husikii na una kichwa lakini hakina maarifa. 🚮🚮🚮🚮
NI wapi tunatakiwa kupata ukweli? Viunga vya real madrid au kwenye mitandao ya transfer market...ambayo ligitimacy yake ni ya mashaka?
 
Kocha aliwahi kufundisha ligi kuu ya Spain huyo sio mchezo, ligi yetu ya NBC hii inaweza ikafanana na ligi daraja la 4 huko Spain.

Kwa Simba ipi? Hii ya akina Mwijaku au? Plz Simba kuweni serious plz.. Mo mwenyewe kasusa kiutu uzima.
 
Simba ndiyo imesema hivyo?
Lete uthibitisho na mgazeti wako wewe utopolo.
 
Hii picha tu ww, acha uzuzu, kapiga picha ndio Assistant Coach, ujue Wikipedia wengi anaandika mwenyewe, yaani Owner, usiiamini sana Wikipedia, ni editable, fuata link ya Madrid uone
Wapi niliandika naamini Wikipedia au niliweka habari ya Wikipedia zaidi ya transfer market
 
Kote kote na cv ya mtu huwa haiwekwi uongo maana ni professional
KAma kuna sehemu tunapigwa ni kumpendekeza mtu kwa kuangalia cv ambayo hajaisaini kuwa ilicHoandikwa ni kweli.

Hayo, maelezo ya market transfer hayajasainiwa na Pablo.
 
Unawazimu wewe. Transfer market ni km nini..? Hembu kaoge ulale maana unaandika utopolo. Transfer market ni nini..??? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 🚮🚮🚮
Kama umesoma hiyo post ya jamaa na mimi nilichoandika hapo na ukaelewa. sijaona kinachochekesha zaid zaid ni kudhihirisha jinsi ulivo mpuuzi usietaka kuelimika.

Jamaa katoa mpaka list ya benchi la ufundi we umekuja na hako kasource kako unabwabwaja as if hiyo website inamilikiwa na realmadrid wenyewe!!

Mmepigwa mkuu, niko nalisakama hilo jina la kocha wenu silioni popote pale kwa hao waliokua waajiri wake( real madrid).

Au labda kuna real madrid ngapi na yeye alikua kocha msaidizi wa ipi em tusaidiane hapo aisee.😁😁
 
Kwani Simba wamemuajiri kwa sababu alikuwa kocha msaidizi wa Real Madrid?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…