Simba wamemchoka Chama hawana haja naye Yanga tumchukue

Simba wamemchoka Chama hawana haja naye Yanga tumchukue

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Viongozi wengi hasa Mo Dewji amekataa kumlipa zaidi Chama. Na anasema amechoka na kelele za kuhusu Chama. Akina Magori wanaunga mkono. Aachwe.

Mashabiki wengi wa Simba wamemchoka. Wamebaki wachache. Umri nao unaenda nadhani tumchukue Yanga. Miaka mingi tumemtaka Chama. Huu ndo wakati wetu sasa wa kumsajili. Angalau kwa mwaka mmoja.

Tunashukuru hatimaye tumekuja mpata Chama mwishoni. Tumemtaka kwa miaka mingi sana.. hatimaye tunaye. Ingawa wapo wanayanga ambao wanapinga usajili wa Chama. Hawamtaki kwa sababu wanadai hana jipya amechoka.

Mimi nadhani tumchukue tu. Ni miaka mingi tumekuwa tukimuhitaji. Naye amekubali kuja kwetu baada ya kuona Simba hawampi tena thamani. Aje ajitahidi. Simba wameamua kuondoa wachezaji wengi wakongwe. Waanze upya. Si mbaya tumchukue.
 
Mbumbumbu mnaweweseka sana.
Mkiachika kubali kuachika.

Chama ni mwananchi.
Woyo woyo.
Wananchi
 
Viongozi wengi hasa Mo Dewji amekataa kumlipa zaidi Chama. Na anasema amechoka na kelele za kuhusu Chama. Akina Magori wanaunga mkono. Aachwe.

Mashabiki wengi wa Simba wamemchoka. Wamebaki wachache. Umri nao unaenda nadhani tumchukue Yanga. Miaka mingi tumemtaka Chama. Huu ndo wakati wetu sasa wa kumsajili. Angalau kwa mwaka mmoja.

Tunashukuru hatimaye tumekuja mpata Chama mwishoni. Tumemtaka kwa miaka mingi sana.. hatimaye tunaye. Ingawa wapo wanayanga ambao wanapinga usajili wa Chama. Hawamtaki kwa sababu wanadai hana jipya amechoka.

Mimi nadhani tumchukue tu. Ni miaka mingi tumekuwa tukimuhitaji. Naye amekubali kuja kwetu baada ya kuona Simba hawampi tena thamani. Aje ajitahidi. Simba wameamua kuondoa wachezaji wengi wakongwe. Waanze upya. Si mbaya tumchukue.
Hili galasa hatulitaki Yanga.
 
Ukweli uko hivi......

1. Chama ni mchezaji mzuri sana tu ila yuko mwishoni mwa career yake. Hana miaka 3 tena kwenye peak.

2. Simba wanamtaka sana Chama na roho zinawauma mno chama kuondoka na mbaya zaidi kuondoka kwenda Yanga. Hii ya kusema Chama umri umeenda ooh Chama mpira umeisha, ni kujifariji tu na ndio maana ikitokea MO akafanikiwa kumsajili tena hutayasikia kamwe haya maneno

3. Yanga kama ni kumchukua Chama ni sababu ya kuikomoa Simba zaidi kuliko kuhitaji huduma yake. Kiuhakisia YeS atacheza ila lengo mama ni kuwakomesha Simba alafu secondly ndio kuhitaji huduma yake.

4. Mleta uzi ni Kolowizard grade one na huu uzi kauleta kiunafiki ila roho inamuuma Chama kuondoka Simba
 
Ukweli uko hivi......

1. Chama ni mchezaji mzuri sana tu ila yuko mwishoni mwa career yake. Hana miaka 3 tena kwenye peak.

2. Simba wanamtaka sana Chama na roho zinawauma mno chama kuondoka na mbaya zaidi kuondoka kwenda Yanga. Hii ya kusema Chama umri umeenda ooh Chama mpira umeisha, ni kujifariji tu na ndio maana ikitokea MO akafanikiwa kumsajili tena hutayasikia kamwe haya maneno

3. Yanga kama ni kumchukua Chama ni sababu ya kuikomoa Simba zaidi kuliko kuhitaji huduma yake. Kiuhakisia YeS atacheza ila lengo mama ni kuwakomesha Simba alafu secondly ndio kuhitaji huduma yake.

4. Mleta uzi ni Kolowizard grade one na huu uzi kauleta kiunafiki ila roho inamuuma Chama kuondoka Simba

Simba walishamchoka Chama. Kipindi hiki tofauti na miaka 3 nyuma. Sisi tumchukue atatufaa. Tulishamsajili mara nyingi sana. Kila msimu tunamsajili. So angalau this time imekuwa kweli. Mimi team gani ... Hilo nadhani lisikuumize kichwa hata nikiwa team ya baba yako yaani tumemwoa mazeri wako si mbaya.... 😁
 
Atatufaa kuuzia jersey na pia mashabiki wamefurahi kuwa hatimaye tumekuja mpata.
Hizi habari za mchezaji kusajiliwa ili kuuza jezi mmezikariri tu kwa kile kinachofanyika huko walikoendelea. Timu zetu haziuzi jezi zenye namba wala majina ya wachezaji, inakuwaje usajili wa Chama uende kuongeza mauzo ya jezi zao?
 
Hizi habari za mchezaji kusajiliwa ili kuuza jezi mmezikariri tu kwa kile kinachofanyika huko walikoendelea. Timu zetu haziuzi jezi zenye namba wala majina ya wachezaji, inakuwaje usajili wa Chama uende kuongeza mauzo ya jezi zao?
Kuna jersey tumeandaa zimeandikwa Chama. Nyingi sana. Utaona.
 
Simba walishamchoka Chama. Kipindi hiki tofauti na miaka 3 nyuma. Sisi tumchukue atatufaa. Tulishamsajili mara nyingi sana. Kila msimu tunamsajili. So angalau this time imekuwa kweli. Mimi team gani ... Hilo nadhani lisikuumize kichwa hata nikiwa team ya baba yako yaani tumemwoa mazeri wako si mbaya.... 😁
Sasa unaacha chat za simba na Yanga unaanza matusi, unadhani tukiamua kutukanana utaweza dogo? Asee tuliza kinyeo achana na mimi kabisa Mauzinde wewe. Nina mdomo mchafu kuliko kinyeo chako ntakutukana na uzuri sitatukana mama yako wala baba yako ntakutukana wewe mwenyewe hautaamini mbwa wewe. Mama yangu kaingiaje hapa?

Vijana mkianzaga ushoga akili zote zinawahama kabisa. Hebu achana na mimi
 
Sasa unaacha chat za simba na Yanga unaanza matusi, unadhani tukiamua kutukanana utaweza dogo? Asee tuliza kinyeo achana na mimi kabisa Mauzinde wewe. Nina mdomo mchafu kuliko kinyeo chako ntakutukana na uzuri sitatukana mama yako wala baba yako ntakutukana wewe mwenyewe hautaamini mbwa wewe. Mama yangu kaingiaje hapa?

Vijana mkianzaga ushoga akili zote zinawahama kabisa. Hebu achana na mimi

Daah mdomo huo huo unalia na chakula? Basi wewe utakuwa unanuka choo muda wote. Unasema umeanza ushoga? Heeeeh.... Dogo mbona kama umepaniki. Hakuna atakayekuua. Maamuzi yako mwenyewe utumie mdomo au mkondu wako kula. 😁
 
Simba walishamchoka Chama. Kipindi hiki tofauti na miaka 3 nyuma. Sisi tumchukue atatufaa. Tulishamsajili mara nyingi sana. Kila msimu tunamsajili. So angalau this time imekuwa kweli. Mimi team gani ... Hilo nadhani lisikuumize kichwa hata nikiwa team ya baba yako yaani tumemwoa mazeri wako si mbaya.... 😁
Sasa unaacha chat za simba na Yanga unaanza matusi, unadhani tukiamua kutukanana utaweza dogo? Asee tuliza kinyeo achana na mimi kabisa Mauzinde wewe. Nina mdomo mchafu kuliko kinyeo chako ntakutukana na uzuri sitatukana mama yako wala baba yako ntakutukana wewe mwenyewe hautaamini mbwa wewe. Mama yangu kaingiaje hapa?

Vijana mkianzaga ushoga akili zote zinawahama kabisa. Hebu achana na mimi
Daah mdomo huo huo unalia na chakula? Basi wewe utakuwa unanuka choo muda wote. Unasema umeanza ushoga? Heeeeh.... Dogo mbona kama umepaniki. Hakuna atakayekuua. Maamuzi yako mwenyewe utumie mdomo au mkondu wako kula. 😁
Nyinyi ni vijana wa miaka ya 2000? Kama sivyo, basi acheni haya mambo ya matusi. Tuliheshimishe hili jukwaa kwa kujibizana kwa hoja badala ya kukimbilia kutukanana.
 
Hizi habari za Chama zimekuwa ni too much sasa humu jukwaani.
Siyo humu jukwaani tu hata kwenye vituo vya Radio na Tv ni kama waandishi na watangazaji wa habari za michezo wameishiwa mbinu za kupata habari nyingine zaidi ya Chama hadi inakera.
 
Back
Top Bottom