MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wanasimbaaaaa!
Najua leo rafiki zetu Uto nyuzi nyingi watakuwa wanapita kama hawazioni lakini ndio mpira na utani wa jadi.
Simba wameweka mpira wetu kwenye ramani misimu 5 sasa na kufanya hata ligi yetu iongezeke thamani. Hata ubora wa sasa wa Yanga benchmark yao ni Simba kuanzia mfumo wa utawala hadi namna ya kuzikabili international games.
Sasa Yanga chukueni hii pia. Kuelekea game dhidi ya Yanga huku pia kukiwa na kibarua dhidi ya Wydad Casablanca wiki hiyo hiyo! Pamoja na mazoezi ya kiufundi na physical fitness, club ilitumia tarehe 15 April kwaajili kuandaa timu kisaikolojia chini ya Mwalimu nguli wa saikolojia Dr Chriss Mauki! Hii ni kwa mujibu wa page ya Dr Mauki mwenyewe.
Binafsi nawapongeza sana viongozi wa Simba kwa kuandaa timu kisasa badala ya enzi za kwenda kulala kwa waganga! Sasa Uto chukueni na hiyo! Mpira unahitaji maandalizi hata ya kiakili ndio maana jana mliona tofauti ya wakamiaji na watulivu waliofundwa kiakili [emoji23]
Jana Nyoni na Mzamiru walifanya Uto wavunje kiungo nzima kuwakabili lakini bado shughuli ikawa pale pale fimbo za mwanaukome zikaendelea [emoji23]
Asante Rastaman Kibu Diii kwa kuninyooshea mdaka mishale [emoji23][emoji23][emoji23]
Najua leo rafiki zetu Uto nyuzi nyingi watakuwa wanapita kama hawazioni lakini ndio mpira na utani wa jadi.
Simba wameweka mpira wetu kwenye ramani misimu 5 sasa na kufanya hata ligi yetu iongezeke thamani. Hata ubora wa sasa wa Yanga benchmark yao ni Simba kuanzia mfumo wa utawala hadi namna ya kuzikabili international games.
Sasa Yanga chukueni hii pia. Kuelekea game dhidi ya Yanga huku pia kukiwa na kibarua dhidi ya Wydad Casablanca wiki hiyo hiyo! Pamoja na mazoezi ya kiufundi na physical fitness, club ilitumia tarehe 15 April kwaajili kuandaa timu kisaikolojia chini ya Mwalimu nguli wa saikolojia Dr Chriss Mauki! Hii ni kwa mujibu wa page ya Dr Mauki mwenyewe.
Binafsi nawapongeza sana viongozi wa Simba kwa kuandaa timu kisasa badala ya enzi za kwenda kulala kwa waganga! Sasa Uto chukueni na hiyo! Mpira unahitaji maandalizi hata ya kiakili ndio maana jana mliona tofauti ya wakamiaji na watulivu waliofundwa kiakili [emoji23]
Jana Nyoni na Mzamiru walifanya Uto wavunje kiungo nzima kuwakabili lakini bado shughuli ikawa pale pale fimbo za mwanaukome zikaendelea [emoji23]
Asante Rastaman Kibu Diii kwa kuninyooshea mdaka mishale [emoji23][emoji23][emoji23]