Kumbe timu yenu inauwezo mkubwa hivyo...inashindwa nini sasa kufika hii hatua aliyofika simba sababu mnamiaka ishirini hii hatua mmeishia kuitazama kwenye tv
Simba ni kama WAKURYA wababe wakiwa TARIME wakija dar wanauza mayai. Ile ni aibu KUBWA haijawahi kutokea kwa kilichofanyika sinto kaa kuwasamehe hawa watu bora niwe shabiki hata Wa netboll....