Simba wameumia, lakini wataumia sana Yanga ikishinda leo

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Ili kuficha AIBU najua maombi ya mashabiki wa Simba leo ni kuona YANGA anafungwa.

Na ikitokea Yanga kufungwa utawasikia maneno yao ya shobo na majigambo.

Wanasimba ombeni sana tu Yanga afungwe. Vinginevyo mtakuwa na yale macho ya kichawi yaani huwezi kumuangalia mtu machoni, unakwepeshakwepesha tu.

SIMBA NI BAUNSA BROILER
 
Labda mshinde njaaa
UBUNTU BOTHO HABIB HABIB THALANTA BIN THIFUL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…