Simba wameweka rekodi ya kipekee kwenda Pre Season bila ya Kocha Mkuu wala Msaidizi

Simba wameweka rekodi ya kipekee kwenda Pre Season bila ya Kocha Mkuu wala Msaidizi

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Unaenda Pre Season bila ya Kocha Mkuu, Msaidizi, na bado unatumia jezi ya msimu uliopita, hii ni record Simba wameweka.

Inshort wameenda Pre Season bila ya kuwa na bench la ufundi.

simbaa.png
 
Vipi wale wengine waliofanya promo ya jezi mpya kwa kumtumia mchezaji ambaye hatachezea timu msimu unaokuja na wamepanda magari ambayo asilimia 99 ya mashabiki wake wala mihogo hawatakuja kuyapanda maisha yao yote?

Kwani we Diara, Aucho, Aziz Ki umewaona kule Kimbiji?
 
Vipi wale wengine waliofanya promo ya jezi mpya kwa kumtumia mchezaji ambaye hatachezea timu msimu unaokuja na wamepanda magari ambayo asilimia 99 ya mashabiki wake wala mihogo hawatakuja kuyapanda maisha yao yote?

Kwani we Diara, Aucho, Aziz Ki umewaona kule Kimbiji?
Kama Simba wameenda preseason bila bench la ufundi hiki ni kituko. Lkn kitendo cha Yanga kuzindua jezi na wachezaji wanaoondoka ni kituko zaidi.
 
Vipi wale wengine waliofanya promo ya jezi mpya kwa kumtumia mchezaji ambaye hatachezea timu msimu unaokuja na wamepanda magari ambayo asilimia 99 ya mashabiki wake wala mihogo hawatakuja kuyapanda maisha yao yote?

Kwani we Diara, Aucho, Aziz Ki umewaona kule Kimbiji?
Hivi huko ukoloni wote wana akili kama zako? Nasikitika hadi natamani kulia.
Wenzio walikuwa na game za kimataifa waliongezewa likizo
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kama Simba wameenda preseason bila bench la ufundi hiki ni kituko. Lkn kitendo cha Yanga kuzindua jezi na wachezaji wanaoondoka ni kituko zaidi.
Mchezaji amevaa jezi kwasababu ana mkataba, hata kule ulaya tunaona yanatokea kwamba mchezaji anatambulisha jezi mpya alafu anasepa, kwani de gea vp si kaondoka lkn jezi mpya si katambulisha?
 
Hivi huko ukoloni wote wana akili kama zako? Nasikitika hadi natamani kulia.
Wenzio walikuwa na game za kimataifa waliongezewa likizo
Lakini hawapo kambini hiyo ndiyo ishu, sasa mmeuliza mkaambiwa kwa nini hao wa Simba bado hawajaenda?
 
Kama Simba wameenda preseason bila bench la ufundi hiki ni kituko. Lkn kitendo cha Yanga kuzindua jezi na wachezaji wanaoondoka ni kituko zaidi.
Unawasikiliza hao? Benchi la ufundi linajumuisha kina nani kusema timu ipo bila benchi?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom