SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Akiwa anaisema Yanga pia uwe unaleta post zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa anaisema Yanga pia uwe unaleta post zake
Hao wa simba Mimi sijui lakini wa yanga taarifa ndio hiyo.Lakini hawapo kambini hiyo ndiyo ishu, sasa mmeuliza mkaambiwa kwa nini hao wa Simba bado hawajaenda?
Sasa hoja iko wapi kama sababu haijulikani. Pia tukumbuke mechi za mwisho walizocheza hao kina Aucho, kina Kibu na Mzamiru pia walicheza. Kila timu na taratibu zake. Wote tungependa wawepo kambini na wenzao lakini siyo ishu ya kuanza kutoa kejeli huku sababu ya kuchelewa haijulikaniHao wa simba Mimi sijui lakini wa yanga taarifa ndio hiyo.
Ndugu yangu hebu rudisha akili mahali pake.Kama Simba wameenda preseason bila bench la ufundi hiki ni kituko. Lkn kitendo cha Yanga kuzindua jezi na wachezaji wanaoondoka ni kituko zaidi.
na kuhusu mgunda ambaye naye hajaenda tusiwe tunatetea ujinga hatakama tunashabikia hizi timu za kariakooHata KUKUJIBU naona aibu.
Robertinho ana kozi ya UKOCHA week 1 KWAO Brazil.
Bahati Mbaya sana Timu imeenda pre season.
Ni wakati WA Mazoezi Magumu yakisimamiwa na KOCHA wa Viungo.
Sehemu ya Mazoezi yasiyomuhitaji KOCHA mkuu.
1. Kukimbia.
2. Kuogelea.
3. Kuingia Gim
4. KURUKA Koni.
5. Kumnyanyua vitu vizito nk.
Chukua shule Hiyo kwanza.
Achana nao hao hata Mpira huwa hawafuatilii. Jambo la kawaida kabisa Duniani kote wao wanaona ajabu.Mchezaji amevaa jezi kwasababu ana mkataba, hata kule ulaya tunaona yanatokea kwamba mchezaji anatambulisha jezi mpya alafu anasepa, kwani de gea vp si kaondoka lkn jezi mpya si katambulisha?
Akili za makolo hizi.....kwani jezi zinacheza mpira?elewa kocha ndio mifumo ya timu...Vipi wale wengine waliofanya promo ya jezi mpya kwa kumtumia mchezaji ambaye hatachezea timu msimu unaokuja na wamepanda magari ambayo asilimia 99 ya mashabiki wake wala mihogo hawatakuja kuyapanda maisha yao yote?
Kwani we Diara, Aucho, Aziz Ki umewaona kule Kimbiji?
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.....Unaenda pre season bila ya kocha mkuu, msaidizi, na bado unatumia jezi ya msimu uliopita hii ni record simba wameweka
In short wameenda pre season bila ya kuwa na bench la ufundi
Pre season bado wanakula Bata kwanza acheni wivu na umbea.Unaenda pre season bila ya kocha mkuu, msaidizi, na bado unatumia jezi ya msimu uliopita hii ni record simba wameweka
In short wameenda pre season bila ya kuwa na bench la ufundi
Yaani hapa hatakuelewa kabisa kwa sababu hata1+1=2 amekuja kuijua ukubwaniHata KUKUJIBU naona aibu.
Robertinho ana kozi ya UKOCHA week 1 KWAO Brazil.
Bahati Mbaya sana Timu imeenda pre season.
Ni wakati WA Mazoezi Magumu yakisimamiwa na KOCHA wa Viungo.
Sehemu ya Mazoezi yasiyomuhitaji KOCHA mkuu.
1. Kukimbia.
2. Kuogelea.
3. Kuingia Gim
4. KURUKA Koni.
5. Kumnyanyua vitu vizito nk.
Chukua shule Hiyo kwanza.
Kocha wa viungo nae katambulishwa Leo?Hata KUKUJIBU naona aibu.
Robertinho ana kozi ya UKOCHA week 1 KWAO Brazil.
Bahati Mbaya sana Timu imeenda pre season.
Ni wakati WA Mazoezi Magumu yakisimamiwa na KOCHA wa Viungo.
Sehemu ya Mazoezi yasiyomuhitaji KOCHA mkuu.
1. Kukimbia.
2. Kuogelea.
3. Kuingia Gim
4. KURUKA Koni.
5. Kumnyanyua vitu vizito nk.
Chukua shule Hiyo kwanza.
Hp chama Langu tumefeli..Unaenda Pre Season bila ya Kocha Mkuu, Msaidizi, na bado unatumia jezi ya msimu uliopita, hii ni record Simba wameweka.
Inshort wameenda Pre Season bila ya kuwa na bench la ufundi.