Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Vipi unateseka ukiwa wapi?Unaenda pre season bila ya kocha mkuu, msaidizi, na bado unatumia jezi ya msimu uliopita hii ni record simba wameweka
In short wameenda pre season bila ya kuwa na bench la ufundi
Ukweli huwa unaumaVipi unateseka ukiwa wapi?
Ni kweli lakini hayakuhusuUkweli huwa unauma
Yaan unaenda pre season bila kocha mkuu wala msaidizi hii ni kali
Kama Simba wameenda preseason bila bench la ufundi hiki ni kituko. Lkn kitendo cha Yanga kuzindua jezi na wachezaji wanaoondoka ni kituko zaidi.Vipi wale wengine waliofanya promo ya jezi mpya kwa kumtumia mchezaji ambaye hatachezea timu msimu unaokuja na wamepanda magari ambayo asilimia 99 ya mashabiki wake wala mihogo hawatakuja kuyapanda maisha yao yote?
Kwani we Diara, Aucho, Aziz Ki umewaona kule Kimbiji?
Hivi huko ukoloni wote wana akili kama zako? Nasikitika hadi natamani kulia.Vipi wale wengine waliofanya promo ya jezi mpya kwa kumtumia mchezaji ambaye hatachezea timu msimu unaokuja na wamepanda magari ambayo asilimia 99 ya mashabiki wake wala mihogo hawatakuja kuyapanda maisha yao yote?
Kwani we Diara, Aucho, Aziz Ki umewaona kule Kimbiji?
Simba ni timu flani inayoendeshwa kihuni sana, no professionalism at all.Unaenda pre season bila ya kocha mkuu, msaidizi, na bado unatumia jezi ya msimu uliopita hii ni record simba wameweka
In short wameenda pre season bila ya kuwa na bench la ufundi
Mchezaji amevaa jezi kwasababu ana mkataba, hata kule ulaya tunaona yanatokea kwamba mchezaji anatambulisha jezi mpya alafu anasepa, kwani de gea vp si kaondoka lkn jezi mpya si katambulisha?Kama Simba wameenda preseason bila bench la ufundi hiki ni kituko. Lkn kitendo cha Yanga kuzindua jezi na wachezaji wanaoondoka ni kituko zaidi.
Mbumbumbu fc wako hivyo sishangaiUnaenda pre season bila ya kocha mkuu, msaidizi, na bado unatumia jezi ya msimu uliopita hii ni record simba wameweka
In short wameenda pre season bila ya kuwa na bench la ufundi
Watu wakiongea wanaonekana wabaya lakin ni ubabaishaji wa hali ya juuSimba ni timu flani inayoendeshwa kihuni sana, no professionalism at all.
Xhaka wa arsenal alizindua jezi ya msimu huu na ameondokaKama Simba wameenda preseason bila bench la ufundi hiki ni kituko. Lkn kitendo cha Yanga kuzindua jezi na wachezaji wanaoondoka ni kituko zaidi.
Lakini hawapo kambini hiyo ndiyo ishu, sasa mmeuliza mkaambiwa kwa nini hao wa Simba bado hawajaenda?Hivi huko ukoloni wote wana akili kama zako? Nasikitika hadi natamani kulia.
Wenzio walikuwa na game za kimataifa waliongezewa likizo
Unawasikiliza hao? Benchi la ufundi linajumuisha kina nani kusema timu ipo bila benchi?Kama Simba wameenda preseason bila bench la ufundi hiki ni kituko. Lkn kitendo cha Yanga kuzindua jezi na wachezaji wanaoondoka ni kituko zaidi.
Msiache kuongea, ongeeni vile mnavyoweza kwani mnavyoongea ......Watu wakiongea wanaonekana wabaya lakin ni ubabaishaji wa hali ya juu