Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii barua yako ni feki hakuna taarifa kama hiyo kutoka simba,Wakati timu nyingine za ligi kuu zikiwa bize na usajili kuelekea msimu ujao,huko ukoloni kwa sasa hivi ni piga nikupige. Acha inyeshe tujue panapovuja.
Hayo ni mahojiano,mahojiano kamili nimeleta kwenye Uzi mwingine,utafute.Imepostiwa wapi?
Nimecheki twita hawajapost
Ndio tatizo lenu 5imba hamtaki kuambiwa ukweli.Hii barua yako ni feki hakuna taarifa kama hiyo kutoka simba,
Alafu Cadena Aliachana na Simba baada ya msimu kuisha.
Si ndiyo hapo tatizo hao jamaa wanaona watu kama mabwege.Inawezekana ni kweli, aseme uongo kwa lengo gani? turnover rate ya wafanyakazi simba ni kubwa means kuna tatizo.
Fake ...thisWakati timu nyingine za ligi kuu zikiwa bize na usajili kuelekea msimu ujao,huko ukoloni kwa sasa hivi ni piga nikupige. Acha inyeshe tujue panapovuja.
Utopolo boy, taarifa yako ya hiyo barua ni feki.Ndio tatizo lenu 5imba hamtaki kuambiwa ukweli.
YoutubeImepostiwa wapi?
Nimecheki twita hawajapost
Mangungu tuachie team yetuWakati timu nyingine za ligi kuu zikiwa bize na usajili kuelekea msimu ujao,huko ukoloni kwa sasa hivi ni piga nikupige. Acha inyeshe tujue panapovuja.
Ndio kazi ya huyu jobless utopolo fan, wanakutana vijiwe vya kihuni vya yanga wanapeana maboko ndio anakuja kuandika humu.Utopolo boy, taarifa yako ya hiyo barua ni feki.
Umefufuka baada ya kukosa hata lile kombe la ufungaji bora kutoka kwa mla urojoMwehu...
Kulikua na kombe la ufungaji bora kumbe?Umefufuka baada ya kukosa hata lile kombe la ufungaji bora kutoka kwa mla urojo
Wakati timu nyingine za ligi kuu zikiwa bize na usajili kuelekea msimu ujao,huko ukoloni kwa sasa hivi ni piga nikupige. Acha inyeshe tujue panapovuja.
Kama na kweli kuna shida kubwa. Uandishi tu mashaka.Wakati timu nyingine za ligi kuu zikiwa bize na usajili kuelekea msimu ujao,huko ukoloni kwa sasa hivi ni piga nikupige. Acha inyeshe tujue panapovuja.
Mtu anafutwa kazi hivi kihuni😁😀😀Wakati timu nyingine za ligi kuu zikiwa bize na usajili kuelekea msimu ujao,huko ukoloni kwa sasa hivi ni piga nikupige. Acha inyeshe tujue panapovuja.