Simba wamlipe Mbwiga wa Mbwiguke kwa kutumia maneno ubaya ubwela

Simba wamlipe Mbwiga wa Mbwiguke kwa kutumia maneno ubaya ubwela

Mnyonge mnyongeni huyu mzee ndio ametambulisha kwa ukubwa matumizi wa hayo maneno kwenye uwanda wa football hapa nchini.

Simba wamlipe huyu mzee kwa kutumia hayo maneno.

Kama humjui mzee mbwiga pita kimyakimya.
Ubwela, ni neno la kibantu maana yake utarudi, japo kuwa linategemea jinsi utakavyo litamka ukitaka kujiwakilisha mwenyewe sema ndibwela yaani nitarudi (hili nalifahamu, linatumika Kwa lugha ya chichewa), Nashauri Hakuna haja ya kulikweza kwanza maneno mawili yamechanganywa ya lugha tofauti, (Please be advised not to complicate matters).ukinzani wa neno ubwela, ukitamka ubwela? Itamaamisha, je utarudi, (ubwelaa!), mimi kazi yangu ni uelimishaji tu. Hitimisho, je ubaya ubwelaa?, yaani je ubaya utarudi?, hahaha 🤣
 
Mnyonge mnyongeni huyu mzee ndio ametambulisha kwa ukubwa matumizi wa hayo maneno kwenye uwanda wa football hapa nchini.

Simba wamlipe huyu mzee kwa kutumia hayo maneno.

Kama humjui mzee mbwiga pita kimyakimya.
Ubaya ni neno la kiswahili kwa kizaramo ni ubwela.
Ubwela ni neno la kizaramo, kwa kiswahili ni ubaya.
Kama ilivyo Kiswa-English, hicho ni Kiswa-Zaramo.
Umiliki wa Mbwiga unaingiaje hapo?
 
Ubaya ni neno la kiswahili kwa kizaramo ni ubwela.
Ubwela ni neno la kizaramo, kwa kiswahili ni ubaya.
Kama ilivyo Kiswa-English, hicho ni Kiswa-Zaramo.
Umiliki wa Mbwiga unaingiaje hapo?
Kwa lugha ya kichewa, (chichewa),ubwela maana yake utarudi
 
Mnyonge mnyongeni huyu mzee ndio ametambulisha kwa ukubwa matumizi wa hayo maneno kwenye uwanda wa football hapa nchini.

Simba wamlipe huyu mzee kwa kutumia hayo maneno.

Kama humjui mzee mbwiga pita kimyakimya.
Alipwe mbwiga au wazaramo!
 
Mnyonge mnyongeni huyu mzee ndio ametambulisha kwa ukubwa matumizi wa hayo maneno kwenye uwanda wa football hapa nchini.

Simba wamlipe huyu mzee kwa kutumia hayo maneno.

Kama humjui mzee mbwiga pita kimyakimya.
Hayo maneno bwiga mwenyewe kayakuta, yapo mengi tu
Ubwela, ni neno la kibantu maana yake utarudi, japo kuwa linategemea jinsi utakavyo litamka ukitaka kujiwakilisha mwenyewe sema ndibwela yaani nitarudi (hili nalifahamu, linatumika Kwa lugha ya chichewa), Nashauri Hakuna haja ya kulikweza kwanza maneno mawili yamechanganywa ya lugha tofauti, (Please be advised not to complicate matters).ukinzani wa neno ubwela, ukitamka ubwela? Itamaamisha, je utarudi, (ubwelaa!), mimi kazi yangu ni uelimishaji tu. Hitimisho, je ubaya ubwelaa?, yaani je ubaya utarudi?, hahaha 🤣
Hayo maneno ya kizaramo, kikwere, kikutu au kiluguru. Undugu umala ubaya ubwela. Bwiga kwa kiswahili rafiki, kunamsemo pia, AJILE NGUKU WA MBWIGA, kaja NGUKU wake.( Aliyekula kuku wa rafik yake, kala kuku wale)
 
Hayo maneno bwiga mwenyewe kayakuta, yapo mengi tu

Hayo maneno ya kizaramo, kikwere, kikutu au kiluguru. Undugu umala ubaya ubwela. Bwiga kwa kiswahili rafiki, kunamsemo pia, AJILE NGUKU WA MBWIGA, kaja NGUKU wake.( Aliyekula kuku wa rafik yake, kala kuku wale)
Duu
 
Mnyonge mnyongeni huyu mzee ndio ametambulisha kwa ukubwa matumizi wa hayo maneno kwenye uwanda wa football hapa nchini.

Simba wamlipe huyu mzee kwa kutumia hayo maneno.

Kama humjui mzee mbwiga pita kimyakimya.
Inategemea kama ana umiliki wa kisheria wa hayo maneno sawa.
 
Hayo Maneno ni Yangu mimi Mwenyewe ubaya na baba yangu mzee ubwela
 
Back
Top Bottom