Simba wana haki kufurahia kufungwa goli 1

Simba wana haki kufurahia kufungwa goli 1

Vile Vibabu Watu Waliona Wavilindie Heshma tu....!
Vijana 'Gen Z' wangefungua turbo visingepona..?

Una Kibabu Chama,halafu Ukifunge unataka kisipate Pensheni?
 
Simba imeshindwa kucheza mpira uwanjani sasa wamehamia kwa marefa kina Sasii kuitoa Yanga mchezoni ili kupunguza magoli, leo kachezesha Arajiga haki bin haki panapovuja vitimu vidogo kama Azam tumeona!

Kwa mpira wa leo ni wazi Yanga ilimdharau sana mtani na kumlindia heshma tu maana leo turbo zilifunguliwa kuikomesha Azam mashambulizi tangu mpira unaanza hadi dkk ya 60 watu wakapoteana na kujifunga ovyo Yanga ikaamua kuwaonea huruma Azam akaingia Nondo kulinda ushindi. Hii timu iliyocheza leo first half ndio first eleven yetu wananchi.

Hii Yanga ikacheza ligi za Ulaya tu inaonea sana vitimu vidogo vya bongo hasa Simba na Azam.

Dawa ni kuipiga Simba 10 - 0 uwezo upo ila wachezaji Yanga huruma zimezidi, mashabiki tunasema Simba wapigwe kumi bila tu maana hakuna namna hawataki kukubali kuwa msuli mdogo Yanga ni next level !! Tumewapiga bakora ya nane tarehe 8 ila bado wanashupaza shingo!!

Wana uto tunataka rekodi ya unbeaten kwa msimu mzima unaonza maana wapinzani Azam na Simba wote mdebwedo tu!!
 
Simba imeshindwa kucheza mpira uwanjani sasa wamehamia kwa marefa kina Sasii kupunguza magoli, leo kachezesha Arajiga haki bin haki panapovuja vitimu vidogo kama Azam tumeona!

Kwa mpira wa leo ni wazi Yanga ilimdharau sana mtani na kumlindia heshma tu maana leo turbo zilifunguliwa kuikomesha Azam mashambulizi tangu mpira unaanza hadi dkk ya 60 watu wakapoteana na kujifunga ovyo Yanga ikaamua kuwaonea huruma Azam akaingia Nondo kulinda ushindi. Hii timu iliyocheza leo first half ndio first eleven yetu wananchi.

Hii Yanga ikacheza ligi za Ulaya tu inaonea sana vitimu vidogo vya bongo hasa Simba na Azam.

Dawa ni kuipiga Simba 10 - 0 uwezo upo ila wachezaji Yanga huruma zimezidi, mashabiki tunasema Simba wapigwe kumi bila tu maana hakuna namna hawataki kukubali kuwa msuli mdogo Yanga ni next level !! Tumewapiga bakora ya nane tarehe 8 ila bado wanashupaza shingo!!

Wana uto tunataka rekodi ya unbeaten kwa msimu mzima unaonza maana wapinzani Azam na Simba wote mdebwedo tu!!
Namimi nasema wapigwe tu
 
Back
Top Bottom