Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipe moyo sio mbaya, Unao uwezo wa kushinda mechi zote zilizobaki wewe?katika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045
kkkkk...hapo ngoja kwanza nchekemechi zilizobaki ni 10 pekee, zote zilizobaki mnyama anafanya umafia
Kwa vile unacheza wewe siokatika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045
Inachukua mechi 50 Yanga kufungwa mechi moja sasa hivi bado ndio hata 20 hazijafika polekatika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045
katika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045
Umafia wenyewe ndo huu?mechi zilizobaki ni 10 pekee, zote zilizobaki mnyama anafanya umafia
Mechi tano zijazo za Yanga:katika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045
Simba na Yanga mwezi wa 4 nduguMechi tano zijazo za Yanga:
1) vs Ruvu Shooting (H)
2) vs Namungo (H)
3) vs Simba (A)
4) vs KMC (A)
5) vs Geita (H)
Mechi tano zijazo za Simba
1) vs Dodoma (A)
2) vs Singida (H)
3) vs Yanga (H)
4) vs Azam (H)
5) vs Mtibwa (A)
Hatuna hofu kabisa mkuu wenye hofu wa waokatika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045
Wewe mechi ambazo utasaga menokatika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045