changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Sawa, atakayefanikiwa kuondoka na alama zote kumi na tano anaunusia ubingwaSimba na Yanga mwezi wa 4 ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, atakayefanikiwa kuondoka na alama zote kumi na tano anaunusia ubingwaSimba na Yanga mwezi wa 4 ndugu
Pole sana kijana. Unatakiwa ufahamu tu kwamba, Yanga ndiyo bingwa kwa mara nyingine tena.katika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045
Hufu inakuja ukiwa na akili timamu tuukatika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045
Kwa maani hiyo kwastani katika mechi 10 Yanga atapoteza point 4. Tuchukulie simba hatapoteza mchezo.Yaani aifunge Mtibwa(A),aifunge Ihefu(A) aifunge Yanga(H) na ifunge Namungo(A). Wakati huo Simba ipo katika mashindano ya Championships na mastreka wenyewe kina Boko na Kibu.Hufu inakuja ukiwa na akili timamu tuu
Katika mechi 20 Yanga alizocheza kapoteza jumla ya point 7
Kwa nini ujipe matumaini sana kwamba atapoteza points 6 ndani ya mechi 10
Kwa huyu kocha na akina Kubu denis wake niko palee!katika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045
Kesho tu kwa dodoma jiji ushindi wenu sarekatika mechi 10 zilizobaki, pale kwa mkapa siku ya derby mnyama anashinda na kuna mechi nyingine ipo tunajua kabisa Yanga hatoboi.
View attachment 2489045
Yanga anahitaji kushinda mechi nane tu ili awe bingwa.....Sawa, atakayefanikiwa kuondoka na alama zote kumi na tano anaunusia ubingwa
Ni mechi tisa sio nane. Simba wana mtaji mkubwa sana wa magoli. Kwa utofauti wa point sita, inatakiwa Yanga ashinde mechi tisa. Ila endapo Simba atazidi kuzipoteza alama tatu ndipo itazidi kumpunguzia Yanga idadi ya mechiYanga anahitaji kushinda mechi nane tu ili awe bingwa.....
Ni mechi nane zinazofuatana na siyo Tisa, maana kwenye hizo nane na Simba imo, ikitokea ameshinda hizo nane game mbili zake za mwisho ni prisons na mbeya city so anakuwa tayari ameizidi Simba points 9 hata akipoteza hizo mbili still anakuwa winner Kwa points 3..Ni mechi tisa sio nane. Simba wana mtaji mkubwa sana wa magoli. Kwa utofauti wa point sita, inatakiwa Yanga ashinde mechi tisa. Ila endapo Simba atazidi kuzipoteza alama tatu ndipo itazidi kumpunguzia Yanga idadi ya mechi
Nimekupata mkuuNi mechi nane zinazofuatana na siyo Tisa, maana kwenye hizo nane na Simba imo, ikitokea ameshinda hizo nane game mbili zake za mwisho ni prisons na mbeya city so anakuwa tayari ameizidi Simba points 9 hata akipoteza hizo mbili still anakuwa winner Kwa points 3..
Lazima tulete dharau. Tuna uhakika wa kupata penalties na red cards za kutosha kwa opponents wetu.Simba wanaidharau yanga, lakini yanga hatuidharau simba....lakini ndani ya box yanga ni baba Leo....simba acheni dharau coz anguko kubwa liko mbele yenu, ukichunguza utangudua simba inarudi nyuma kwa performance meanwhile yanga ndio inajijenga....simba kuweni makini muache dharau kwa yanga, hata kusema bahasha, mara refa, mara nini....hizi ni dharau lkn Sisi hatujali tunazidi kujijenga kwa maneno na dharau zenu...NASHUKURU
Kumbe, nmeelewa muda ni hakimuLazima tulete dharau. Tuna uhakika wa kupata penalties na red cards za kutosha kwa opponents wetu.
Simba ana mlimaMechi tano zijazo za Yanga:
1) vs Ruvu Shooting (H)
2) vs Namungo (H)
3) vs Simba (A)
4) vs KMC (A)
5) vs Geita (H)
Mechi tano zijazo za Simba
1) vs Dodoma (A)
2) vs Singida (H)
3) vs Yanga (H)
4) vs Azam (H)
5) vs Mtibwa (A)