Simba wana jambo lao saa 11 jioni hii, kaeni mkao wa kula

Simba wana jambo lao saa 11 jioni hii, kaeni mkao wa kula

Ama kweli mbumbumbu wanakwenda ki mihemko uyo jamaa anacheza kiungo mshambuliaji Sasa Simba walivyo sikia Yanga Wana mtaka Waka kurupuka Sasa sijui anakwenda kucheza namba ngapi wakati tatizo sugu la Simba ni namba 6.
Tokea lini ukawa kocha wa Simba?
 
Kotei alikuwa anacheza namba 6?Wacha kukariri usichokijua.Utopolo ameondoka Tshimbishimbi mnamsajili Zawadi Mauya!!Halafu unakosoa wanaume????
 
Mesi nae yupo sokoni wamuwai2 maana wa jangwani watamchukua!!![emoji13][emoji13][emoji13]
 
Ama kweli mbumbumbu wanakwenda ki mihemko uyo jamaa anacheza kiungo mshambuliaji Sasa Simba walivyo sikia Yanga Wana mtaka Waka kurupuka Sasa sijui anakwenda kucheza namba ngapi wakati tatizo sugu la Simba ni namba 6.
MIPOVU ruksa
 
Back
Top Bottom