Simba wana nafasi ya kuwa Bingwa Ligi Kuu

Simba wana nafasi ya kuwa Bingwa Ligi Kuu

Yanga wanaanza kuandamwa na majeruhi, wakitoa draw mbili na kufungwa mechi moja Simba anakuwa bingwa asipopoteza mechi hata moja, au yanga akipoteza mechi mbili simba akashinda zote basi Simba bingwa.

Ligi bado sana Yanga msijipe 100% ya ubingwa.
Unajitekenya harafu una cheka.kaa Kwa kutulia
 
Yanga wanaanza kuandamwa na majeruhi, wakitoa draw mbili na kufungwa mechi moja Simba anakuwa bingwa asipopoteza mechi hata moja, au yanga akipoteza mechi mbili simba akashinda zote basi Simba bingwa.

Ligi bado sana Yanga msijipe 100% ya ubingwa.
Watafute kwanza CEO huyo Imani ni hovyo kabisa.
 
Yanga wanaanza kuandamwa na majeruhi, wakitoa draw mbili na kufungwa mechi moja Simba anakuwa bingwa asipopoteza mechi hata moja, au yanga akipoteza mechi mbili simba akashinda zote basi Simba bingwa.

Ligi bado sana Yanga msijipe 100% ya ubingwa.
Vijana wa Mangungu mtasubiri sana. Malengo ya Yanga ni kuwa Bingwa wa Ligi kuu kwa miaka 10 mfululizo. Na ndani ya hiyo miaka 10, tumejipanga pia kuchukua klabu bingwa Afrika.
 
Yanga wanaanza kuandamwa na majeruhi, wakitoa draw mbili na kufungwa mechi moja Simba anakuwa bingwa asipopoteza mechi hata moja, au yanga akipoteza mechi mbili simba akashinda zote basi Simba bingwa.

Ligi bado sana Yanga msijipe 100% ya ubingwa.
😁😂😁😂😁Kaka nyinyi labda mwakani
 
Yanga wanaanza kuandamwa na majeruhi, wakitoa draw mbili na kufungwa mechi moja Simba anakuwa bingwa asipopoteza mechi hata moja, au yanga akipoteza mechi mbili simba akashinda zote basi Simba bingwa.

Ligi bado sana Yanga msijipe 100% ya ubingwa.
Yanga wanatakiwa washinde mechi mbili
 
Yanga wanaanza kuandamwa na majeruhi, wakitoa draw mbili na kufungwa mechi moja Simba anakuwa bingwa asipopoteza mechi hata moja, au yanga akipoteza mechi mbili simba akashinda zote basi Simba bingwa.

Ligi bado sana Yanga msijipe 100% ya ubingwa.
Baada ya simba kufungwa na yanga aliaga rasmi ubingwa
 
Back
Top Bottom