Simba wanajaribu kulazimisha tuamini kisaikojia kuwa Yanga hana nafas, ila wanasahau wao walifungwa mechi mbili na bado wakafika robo fainali

Simba wanajaribu kulazimisha tuamini kisaikojia kuwa Yanga hana nafas, ila wanasahau wao walifungwa mechi mbili na bado wakafika robo fainali

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hawa jamaa ni akili mgando kabisa. Kama sikoseI, wao kwenye kundi lao walipoteza mechi mbili za ugenini na bado wakafika robo, halafu wanaibeza Yanga ambayo mpaka sasa imepoteza mechi moja tu ya ugenini. Ukweli huu wanaujua vizuri, wanachokifanya ni kujaribu kucheza na saikolojia yetu wakati huo huo wakitafuta la kusema ili kujifsariji huku wao wenye wanachechemea.

Hata ukija kwenye msimamo wa kundi, kinara wa kundi AL Ahyl ana point 5, huku Medeama na CRB wana point 4 na Yanga ana point 2. Sasa kwa msimamo huu, si ni swala la mechi moja tu inayofuata tena ya nyumbani inayoweza kumfanya hata Yang afikie point za kinara wa kundi? Sasa najiuliza, wenzetu hawa wanawaza kwa kutumia akili au matope au makalio?

Kwa sasa hata mwenye point sifuri, bado anaweza kufuzu ila mnavyojitoa akili, utadhani Yanga point zake ni negative. Pambaneni na ya kwenu.

Anyway, kipigo cha 5G kimeharibu fuse kwenye vichwa vya Makolo, hivyo sio kosa lao. kwa kifupi, hawa jamaa bado wana hasira za hicho kipiogo na zaidi wako frustrated na timu yao mbovumbovu.

Tuwapotezee, tuendelee na mikakati ya mechi inayofuata ya nyumbani.
 
Kweli Uto mwiko unasumbua[emoji3]
Kwa hiyo huyo kinara wa kundi yeye atakuwa amejitoa kwenye mashindano ili nyie muongoze kundi?
Kwahiyo Yanga ndio amejitoa sadaka kwenye kundi ili wengine wote washinde?
 
Nathemaje...bado hamjathema...yaani hadi mtheme.
Young African imeshatimiza malengo yake tayari.
Tangu tuwatandike 5G, wengi wenu madishi yameyumba, Kibaya zaidi, mliombea sana leo Yanga afungwe sasa imekuwa tofauti tumeondoka na pont moja ugenini kwahiyo machungu yenu yameongezeka.
 
Hawa jamaa ni akili mgando kabisa. Kama sikoseI, wao kwenye kundi lao walipoteza mechi mbili za ugenini na bado wakafika robo, halafu wanaibeza Yanga ambayo mpaka sasa imepoteza mechi moja tu ya ugenini. Ukweli huu wanaujua
Lini Club ya Simba imetoa tamko hilo mkuu? Pambaneni na hali yenu Simba nao wanapambana kivyao. Wacheni woga mpira unachezwa uwanjani na hauchezwi kwa maneno. Kwani mtu akikuambia utakufa kesho kweli utakufa,ila ukiwa na hofu utakufa kweli. Chezeni mpira wacheni tantalila
 
Hawa jamaa ni akili mgando kabisa. Kama sikoseI, wao kwenye kundi lao walipoteza mechi mbili za ugenini na bado wakafika robo, halafu wanaibeza Yanga ambayo mpaka sasa imepoteza mechi moja tu ya ugenini. Ukweli huu wanaujua vizuri, wanachokifanya ni kujaribu kucheza na saikolojia yetu wakati huo huo wakitafuta la kusema ili kujifsariji huku wao wenye wanachechemea.


Tuwapotezee, tuendelee na mikakati ya mechi inayofuata ya nyumbani.
Kibabage angeacha ule usenge wake wa kuchelewesha pasi kwenye final third tungekuwa tunaongea mengine leo

All in all pengo la Lomalisa linaonekana wazi kabisa

On to the next one
 
Zile 5g zimewapoteza kabisa, wanatafuta namma ya kujifariji wanakosa.
Hawana amani kabisa.
Na ole wao leo wafungwe

Wakiukalia leo watashika nafasi ya nne mwishoni

Na watalingana point na Yanga

Aahaaaaa

Halafu next week watakuwa na mwarabu huyo huyo hapa Bongo
 
Tangu tuwatandike 5G, wengi wenu madishi yameyumba, Kibaya zaidi, mliombea sana leo Yanga afungwe sasa imekuwa tofauti tumeondoka na pont moja ugenini kwahiyo machungu yenu yameongezeka.
Waombe wabahatishe hata droo leo


Aaahaaa

Wakiukalia watalia
 
Hawa jamaa ni akili mgando kabisa. Kama sikoseI, wao kwenye kundi lao walipoteza mechi mbili za ugenini na bado wakafika robo, halafu wanaibeza Yanga ambayo mpaka sasa imepoteza mechi moja tu ya ugenini. Ukweli huu wanaujua vizuri, wanachokifanya ni kujaribu kucheza na saikolojia yetu wakati huo huo wakitafuta la kusema ili kujifsariji huku wao wenye wanachechemea.

Hata ukija kwenye msimamo wa kundi, kinara wa kundi AL Ahyl ana point 5, huku Medeama na CRB wana point 4 na Yanga ana point 2. Sasa kwa msimamo huu, si ni swala la mechi moja tu inayofuata tena ya nyumbani inayoweza kumfanya hata Yang afikie point za kinara wa kundi? Sasa najiuliza, wenzetu hawa wanawaza kwa kutumia akili au matope?

Kwa sasa hata mwenye point sifuri, bado anaweza kufuzu ila mnavyojitoa akili, utadhani Yanga point zake ni negative. Pambaneni na ya kwenu.

Anyway, kipigo cha 5G kimeharibu fuse kwenye vichwa vya Makolo, hivyo sio kosa lao. kwa kifupi, hawa jamaa bado wana hasira za hicho kipiogo na zaidi wako frustrated na timu yao mbovumbovu.

Tuwapotezee, tuendelee na mikakati ya mechi inayofuata ya nyumbani.
Muda utatoa jibu tuombe uzima
 
Kweli Uto mwiko unasumbua[emoji3]
Kwa hiyo huyo kinara wa kundi yeye atakuwa amejitoa kwenye mashindano ili nyie muongoze kundi?
Mzee si anaweza poteza dhidi ya CR Mkuu huku tukimfunga Madeama hapa kwetu? Huoni faida ya Yanga ya kuwa na mechi 2 nyumbani mkuu ambapo atachukua point 6? Kundi lipo wazi na hata coach wa Madeama kasema hilo kwenye interview ya baada ya mechi. Msilazimishe furaha.
 
Kama al ahly ametoa sale na simba na sisi simba tumempiga 5 basi kosa kosa al ahly anakula 3 nje ndani
#Raha ya mwiko ilipokolea nyuma daima kurudi
 
Lini Club ya Simba imetoa tamko hilo mkuu? Pambaneni na hali yenu Simba nao wanapambana kivyao. Wacheni woga mpira unachezwa uwanjani na hauchezwi kwa maneno. Kwani mtu akikuambia utakufa kesho kweli utakufa,ila ukiwa na hofu utakufa kweli. Chezeni mpira wacheni tantalila
Maneno tu yanawaingiza upepo ?....uoga mbaya sana.
 
Back
Top Bottom