Simba wanajaribu kulazimisha tuamini kisaikojia kuwa Yanga hana nafas, ila wanasahau wao walifungwa mechi mbili na bado wakafika robo fainali

Hawa Makolo ni vilaza kupindukia wanaropoka tu hovyo humu.
 
Kaa kwa kutulia uone jinsi leo wanaume wanavyoiheshimisha Tanganyika
 
Yanga hamna timu ya klabu bingwa mle.

Wanacheza kukimbia tu mwanzo mwisho. Papatu papatu tu.

Sasa kundi lenu mtamfunga Nani aliyebaki.

Yule mliedhani kibonde Ndiyo huyo mmedroo nae,
 
Yanga hamna timu ya klabu bingwa mle.

Wanacheza kukimbia tu mwanzo mwisho. Papatu papatu tu.

Sasa kundi lenu mtamfunga Nani aliyebaki.

Yule mliedhani kibonde Ndiyo huyo mmedroo nae,
Aahaaaa

Shinda au droo leo

Kinyume na hapo wewe na Yanga mtakuwa sare sare
 
Hahaha. Mjinga wewe. Lakini malengo uto ilikuwa makundi. Simba malengo ni nusu fainali. TUNATOFAUTIANA SANA!
 
Kwamba atachukua point 6 nyumbani sio? Huu uhakika mnautoa wapi ikiwa kila team inaingia uwanjani kupambana?

Ndio yaleyale ya kujisemea mtachukua point 6 kwa Madeama naa Belouzdad.
 
Mbona unafikiri kama team zingine hazichezi mnacheza nyinyi TU Ili kufikisha point za anaeongoza kundi ,tumia akili usiwe na haraka ,unao ubongo tumia hiyo rasilimali vizuri.
 
We unaangaika na iyo timu ya wastaafu, kipigo kile Cha Kono la nyani kilifyatua fyuzi zote vichwani mwao, wamebaki kutafuta furaha ya kulazimisha na mpira unachezwa hadharani na bingwa wa caf champions league atatokea kwenye KUNDI la yanga na sio vinginevyo
 
Leo wanapigwa si chini ya bao 3.
Wacha ramli chonganishi saa nne siyo mbali. Ukiweka matumaini ya Simba afungwe ili upate relief akifunga utaumia zaidi. Just relax huu mchezo ni wa kikatili sana hautaki makasiriko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…