Simba wanatakiwa kuwa na hofu sio sisi, kocha Al Ahly

Simba wanatakiwa kuwa na hofu sio sisi, kocha Al Ahly

kilwakivinje

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
6,184
Reaction score
9,407
Kocha na mchezaji wa zamani wa Al Ahly,Mokhtar Mokhtar amesema kwenye michuano mipya ya African Football League,timu yao wanahofia mechi dhidi ya Mamelodi Sundowns ambao wanaweza kukutana nao nusu fainali na sio hii dhidi ya Simba katika hatua ya robo fainali

Mokhtar amesema Simba ndio wanatakiwa kuwa na hofu na sio wao kwani wasiwasi wao upo kwa Mamelodi Sundowns.

“Simba ndio wanatakiwa kuogopa kukutana na Al Ahly,ila mimi ninahofia kukutana na Mamelodi Sundowns”

“Al Ahly wana uwezo wa kuifunga timu yoyoye ndani ya Afrika, lakini mahesabu yetu siku zote hubadilika tukiwa tunaenda kukutana na Sundowns” Amezungumza Mokhtar kupitia mtandao wa Kingfut wa Misri.

Atakayeshinda mechi ya robo fainali ya Simba SC na Al Ahly,kwenye hatua ya nusu fainali atakutana na mshindi wa robo fainali ya Mamelodi Sundowns na Petro de Luanda ya Angola
 
Ila Kuna watu Wana Mambo ya Ajabu sana.

Anyway penye wengi Kuna Mengi.

Hongera Simba imefanya BIASHARA YA MAAANA SANA.

1. Kuingiza BILIONI 5 super cup.
2. Kuiwakilisha NCHI kwenye mashindano mapya.
3. Ufunguzi kufanyika Tanzania
4. KUTANGAZA vivutio vya Utalii.
5. KUTANGAZA Tanzani nk.

MIMI NAISHIA HAPA NIKOZIDISHA NITAWAKWAZA MAPUMBUFU NA WAJINGA MAANA WENYE AKILI NI WAWILI TU.


SH3MZI ZENUUUUUUUUUUU
 
Ila Kuna watu Wana Mambo ya Ajabu sana.

Anyway penye wengi Kuna Mengi.

Hongera Simba imefanya BIASHARA YA MAAANA SANA.

1. Kuingiza BILIONI 5 super cup.
2. Kuiwakilisha NCHI kwenye mashindano mapya.
3. Ufunguzi kufanyika Tanzania
4. KUTANGAZA vivutio vya Utalii.
5. KUTANGAZA Tanzani nk.

MIMI NAISHIA HAPA NIKOZIDISHA NITAWAKWAZA MAPUMBUFU NA WAJINGA MAANA WENYE AKILI NI WAWILI TU.


SH3MZI ZENUUUUUUUUUUU
Mimi shabiki wa Dar Young African FC nakubaliana na yote uliyo andika hapa.
Kongole Simba FC.
Ikifika kwenye mafanikio yetu(Yanga) pia lazima nanyi mkubali(acknowledge) ukweli.
 
Huyu mbona tangu apangwe na simba amekuwa mtu wa kulia hovyo jana pia nimesikia anaomba serikali iruhusu mashabiki waujaze uwanja wao leo kaibuka na hili tena kifupi huyu tukikaa vizur safari inamhusu
Ameomba serikali waruhusu mashabiki kujaza uwanja kwenye mechi yao na Mamelodi na sio nyinyi Kolowizard, Yani uhofie katimu ambako hakajawahi kukutoa kwenye michuano yoyote ile achili mbali tu hako katimu hakajawahi hata kufika nusu fainali, uache kumhofia Mbabe Sundowns ambaye msimu uliopita umepata point 1 tu kwake ukipokea kipigo cha 5 pale South.
Nyinyi nendeni mkashiriki kwasababu kwenye msafara wa Mamba Kenge wapo, Sasa Kenge ni Simba, Petro na Enyimba.
 
Naamini angekuwa anakutana na timu iliyofika fainali Kombe la Shirikisho Barani Afrika msimu uliopita, na kumfunga Bingwa wa hayo mashindano kwenye uwanja wake wa nyumbani!!

Hakika angeingiwa na hofu kubwa, kuliko hata hiyo ya kukutana na Mamelodi Sundowns. Ila ndiyo hivyo tena! Anaenda kukutana na wazee wa pira papatu papatu. Kwa nini wasiwe na jeuri. Maana wanatambua fika, ushindi kwao ni 💯%
 
Ameomba serikali waruhusu mashabiki kujaza uwanja kwenye mechi yao na Mamelodi na sio nyinyi Kolowizard, Yani uhofie katimu ambako hakajawahi kukutoa kwenye michuano yoyote ile achili mbali tu hako katimu hakajawahi hata kufika nusu fainali, uache kumhofia Mbabe Sundowns ambaye msimu uliopita umepata point 1 tu kwake ukipokea kipigo cha 5 pale South.
Nyinyi nendeni mkashiriki kwasababu kwenye msafara wa Mamba Kenge wapo, Sasa Kenge ni Simba, Petro na Enyimba.
1694066160366.png
 
Ila Kuna watu Wana Mambo ya Ajabu sana.

Anyway penye wengi Kuna Mengi.

Hongera Simba imefanya BIASHARA YA MAAANA SANA.

1. Kuingiza BILIONI 5 super cup.
2. Kuiwakilisha NCHI kwenye mashindano mapya.
3. Ufunguzi kufanyika Tanzania
4. KUTANGAZA vivutio vya Utalii.
5. KUTANGAZA Tanzani nk.

MIMI NAISHIA HAPA NIKOZIDISHA NITAWAKWAZA MAPUMBUFU NA WAJINGA MAANA WENYE AKILI NI WAWILI TU.


SH3MZI ZENUUUUUUUUUUU
Kwa jinsi ulichoandika hapa tayari matokeo unayo na unakuwa vizuri nini kinakwenda kutokea Cairo.
 
Back
Top Bottom