Au kama mfungaji bora wa ligi ya Uganda, Juma Balinya, sijui alicheza mechi ngapi pale Simba, maana wakamuacha dirisha dogoNaunga mkono hoja kwa 100%
Kuna yule Kaheza alisajiliwa kwa mbwembwe sijui alicheza mechi ngapi uko umbumbumbuni
Mahadhi - SimbaKatika timu ambazo huwa zina didimiza vipaji vya vijama wa kitanzania Simba ndio namba moja
Juma mahadhi ni majeruhi ndugu sso utamwona.Kabwili anacheza kama kawaida ,Mhilu hujui ndo wa pili kwa ufungaji bongo baada ya kagere magoli 12.Balinya alikufa kiwango kivipi?Au ndo umbumbumbu wenyewe?Mahadhi - Simba
Mhilu - Simba
Balinya - Simba
Kabwili - Simba
.
.
.
Hii Simba sio ya kuwapeleka vijana kabisa
Hao wote wanaendelea kucheza Yanga? Waliondokaje Yanga? Kwa hiyo Salamba yupo Simba?Juma mahadhi ni majeruhi ndugu sso utamwona.Kabwili anacheza kama kawaida ,Mhilu hujui ndo wa pili kwa ufungaji bongo baada ya kagere magoli 12.Balinya alikufa kiwango kivipi?Au ndo umbumbumbu wenyewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nalimi Busungu - SimbaMahadhi - Simba
Mhilu - Simba
Balinya - Simba
Kabwili - Simba
.
.
.
Hii Simba sio ya kuwapeleka vijana kabisa
Balinya alikuwa yangaAu kama mfungaji bora wa ligi ya Uganda, Juma Balinya, sijui alicheza mechi ngapi pale Simba, maana wakamuacha dirisha dogo
Paul Godfrey boxer SimbaMahadhi - Simba
Mhilu - Simba
Balinya - Simba
Kabwili - Simba
.
.
.
Hii Simba sio ya kuwapeleka vijana kabisa
Mkuu hii ni ndoto ya Mwaka gani!Katika timu ambazo huwa zina didimiza vipaji vya vijama wa kitanzania Simba ndio namba moja.
Adam Salamba ni kijana mdogo aliyehitaji malezi ili aisaidie Simba pamoja na Taifa kwa ujumla lakini Simba wamempotezea dira yake.
Kama mmeona hana nafasi ya kucheza katika kilabu yenu ya Simba kwanini msimtoe kwa mkopo?
Sent using Jamii Forums mobile app