live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 855
- 1,365
Katika timu ambazo huwa zina didimiza vipaji vya vijama wa kitanzania Simba ndio namba moja.
Adam Salamba ni kijana mdogo aliyehitaji malezi ili aisaidie Simba pamoja na Taifa kwa ujumla lakini Simba wamempotezea dira yake.
Kama mmeona hana nafasi ya kucheza katika kilabu yenu ya Simba kwanini msimtoe kwa mkopo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Adam Salamba ni kijana mdogo aliyehitaji malezi ili aisaidie Simba pamoja na Taifa kwa ujumla lakini Simba wamempotezea dira yake.
Kama mmeona hana nafasi ya kucheza katika kilabu yenu ya Simba kwanini msimtoe kwa mkopo?
Sent using Jamii Forums mobile app