Daaah! Tegete kaishia kucheza bonanza tabta shule na kulewa heineken na wana kina matunga adam.Kati ya vitu ninayoipendea klabu ya Simba ni kutobania wachezaji. Mchezaji akihitajika na klabu nyingine ataruhusiwa bila longo longo, akashindwe mwenyewe.
Sasa kule Jangwani mlimrubuni Ngasa azime simu alipotakiwa na timu kubwa El mereihk. Tegete pia mkamwambia arudi Dar haraka kutoka sweden kwenye majaribio ili awahi mechi dhidi ya simba.
Kati ya vitu ninayoipendea klabu ya Simba ni kutobania wachezaji. Mchezaji akihitajika na klabu nyingine ataruhusiwa bila longo longo, akashindwe mwenyewe.
Sasa kule Jangwani mlimrubuni Ngasa azime simu alipotakiwa na timu kubwa El mereihk. Tegete pia mkamwambia arudi Dar haraka kutoka sweden kwenye majaribio ili awahi mechi dhidi ya simba.
Mchezaji anapitaka kusajiriwa lazima aangalie nafasi yake ya kucheza kwa kuchunguza aina ya wachezaji atakaogombania nao namba kwenye timu mpya. Ndo maana wenzetu walioendelea wanaweka kipengele cha malipo kuongezeka endapo mchezaji atafanikisha mafanikio fulani.Katika timu ambazo huwa zina didimiza vipaji vya vijama wa kitanzania Simba ndio namba moja.
Adam Salamba ni kijana mdogo aliyehitaji malezi ili aisaidie Simba pamoja na Taifa kwa ujumla lakini Simba wamempotezea dira yake.
Kama mmeona hana nafasi ya kucheza katika kilabu yenu ya Simba kwanini msimtoe kwa mkopo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja kwa 100%
Kuna yule Kaheza alisajiliwa kwa mbwembwe sijui alicheza mechi ngapi uko umbumbumbuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika timu ambazo huwa zina didimiza vipaji vya vijama wa kitanzania Simba ndio namba moja.
Adam Salamba ni kijana mdogo aliyehitaji malezi ili aisaidie Simba pamoja na Taifa kwa ujumla lakini Simba wamempotezea dira yake.
Kama mmeona hana nafasi ya kucheza katika kilabu yenu ya Simba kwanini msimtoe kwa mkopo?
Sent using Jamii Forums mobile app