Simba wanavyohangaika na goli la Sakho

Simba wanavyohangaika na goli la Sakho

Namshukuru sana Allah kunipa nafasi ya kuishi na wenzangu weusi ila pia kuishi na weupe!! ninajitambua na nitatambua nafasi za wengine!
yaani baadhi yetu weusi akili zetu ni ndogo tu! hii kauli ya Haji kuhusu wanayanga hawana akili imekuzwa mno ili wanasimba kujifariji!

Haji is a normal person who has the right to share what he feels or think, and what Haji says can be said by any person hata wa kibanda umiza cha matombo !! And other people also have the right to say what they feel or think, which do not justify to be true!
And what Haji says does not mean it is true or wrong!! si karopoka tu!

Kulazimisha kauli za Haji kuwa Wanayanga hawana akili ni ujuha!! Ye alijiropokea zake tu kunogesha utani apate ugali wake!

Simba tafuteni kingine, hivi wananchi ujinga wao uko wapi mnavyolazimisha? kuwatanieni kuwa Kolo FC kwa kukosa makombe yote na kuwapasua CCM Kirumba? Wanayanga kushangilia timu yao pira biriani ujinga wao uko wapi? wanayanga kupiga fataki Arusha kushangilia kombe kimataifa ujinga wao uko wapi?
Aden Rage alisema Simba wote ni Mbumbumbu.Na kwa kusema hivyo alimaanisha Simba wote akiwemo na yeye.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Leo zamu ya nani kuchunga maana mpaka Sasa ng'ombe yupo zizini
Mwenye ng'ombe alifunga magori mazuri sana msimu huu. Akapewa tuzo, lkn mashabiki wa Yanga wametulia tu. Ila nyie hamlali kwa goli la Sakho
 
Kwisha habari yako, tayari sindano imegusa mfupa na kukatikia ndani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wee na huo ubingwa wako, unaumia na kipi kwa Goal la Sakho???? Mbna Bado maumivu ndo kwanzaaa yaanza kutonokaa.
Weraaaaaaah byuti byuti.
Unafaa kuimba taarabu
 
Ujinga hauwezi kuwaondoka ninyi....

Mchezaji wa Simba kachukua Tuzo ya Goli bora Afrika... Alafu wewe unakuja hapa unaleta ngonjera....

Nina mashaka na weledi wako kisoka.....

Ficha ujinga wako!
Yes sakho kapata kiatu msimu huu.
Je club ya simba imepata nini msimu huu??
Wakimataifa mmepigwa hadi na mbeya city 🤣🤣🤣
 
Simba msimu huu hawakua na cha kushangilia..ndiyo maana ukaona wakaamua
1) wamshabikie george mpole
2)Sopu
3)Washangilie Mayele kukosa kuwa mfungaji bora
4)Washangilie eti Yanga hajasafiri kwenda pre season camp
5)Washangilie Haji Manara kufungiwa miaka miwili
6)Washangilie usajiri
7)Na sasa Goli la Sakho..ambalo ukilipima na lile la Mayele la tik tak kali alilolifunga ktk ligi yetu la Mayele ni bora zaidi tena mara tatu! Ni vile tu CAF hawajaliona.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
🚨 KUTOKA KWA BUGATI

Kupanga ni kuchagua. Wakati Yanga akichukua Treble this season kwa kushinda Ngao Ya Jamii, Azam federation na Ligi kuu, Makolo Treble zao ni

👉Mpole Cup

👉Sopu Cup

👉Sakho Cup Kiufupi chake Treble ya Manyonyo inaitwa MSOSA.

Nb :: Tabu ipo pale pale Makolo,,hadi mtueleze kale katwenty mmekaficha wapi MSOSA KAMA MSOSA TREBLE Byuti Byuti 🏆🏆🏆
 
Kolo wana tabu sana. Alaf wana gubu kama nn. Just imagine wanashangilia mayele kukosa kiatu na tena wanamuuza kwa lazima kwa Kaizer Chiefs bila ithini ya Yanga ilimradi asiwatungue tena ngao ya jamii. Na sasa kelele za sakho utadhani kuna kombe linaitwa Sakho cup.
 
Simba msimu huu hawakua na cha kushangilia..ndiyo maana ukaona wakaamua
1) wamshabikie george mpole
2)Sopu
3)Washangilie Mayele kukosa kuwa mfungaji bora
4)Washangilie eti Yanga hajasafiri kwenda pre season camp
5)Washangilie Haji Manara kufungiwa miaka miwili
6)Washangilie usajiri
7)Na sasa Goli la Sakho..ambalo ukilipima na lile la Mayele la tik tak kali alilolifunga ktk ligi yetu la Mayele ni bora zaidi tena mara tatu! Ni vile tu CAF hawajaliona.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sana
 
Back
Top Bottom