Simba wanavyohangaika na goli la Sakho

Simba wanavyohangaika na goli la Sakho

Sasaivi Simba wanasherehekea habari ya Rais wa Senegal kumpongeza Sakho
 
Ukikosa ubingwa basi mpaka ugomvi wa kuku wanapopigana nao utashangilia tu
 
Simba msimu huu hawakua na cha kushangilia..ndiyo maana ukaona wakaamua
1) wamshabikie george mpole
2)Sopu
3)Washangilie Mayele kukosa kuwa mfungaji bora
4)Washangilie eti Yanga hajasafiri kwenda pre season camp
5)Washangilie Haji Manara kufungiwa miaka miwili
6)Washangilie usajiri
7)Na sasa Goli la Sakho..ambalo ukilipima na lile la Mayele la tik tak kali alilolifunga ktk ligi yetu la Mayele ni bora zaidi tena mara tatu! Ni vile tu CAF hawajaliona.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hapo no 7, uliposema CAF hawajaliona, ilibidi wee ndo ukalionesheee, kwan ulikwamaaa wapi???

Si alipewa na TFF kwan umesahau??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maumivu badooo, kuwa mpoleeee.

Byuti byuti.
 
Sasaivi Simba wanasherehekea habari ya Rais wa Senegal kumpongeza Sakho
Kwann utesekeeee?? Kwann uumie??
Kunywa maji ya uvugu vugu, afu pumzikaaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti.
 
Simba msimu huu hawakua na cha kushangilia..ndiyo maana ukaona wakaamua
1) wamshabikie george mpole
2)Sopu
3)Washangilie Mayele kukosa kuwa mfungaji bora
4)Washangilie eti Yanga hajasafiri kwenda pre season camp
5)Washangilie Haji Manara kufungiwa miaka miwili
6)Washangilie usajiri
7)Na sasa Goli la Sakho..ambalo ukilipima na lile la Mayele la tik tak kali alilolifunga ktk ligi yetu la Mayele ni bora zaidi tena mara tatu! Ni vile tu CAF hawajaliona.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Chura wa njano mnateseka kwa wivu.. washirikina hawaendi peponi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani mnaumia ndani kwa ndani, kelele mnatoa nje. Ubingwa mnao ila bado furaha imeyeyuka yeyuuuuuu!!

Sakho awakilisha Taifa na Team yetu ulimwenguni. Weraaaaaaaaah. Bado usilie sahivi, maumivu halisi yanakujaaa.

Byuti byuti.
Hahahaa. Amka usingizini Mtani hizi kauli zako ni kama umelala unaota. 😅😅
 
Jaman hili ni goli tuuuuu na haliondoi ukweli kuwa mmekuwa na poor performance in 2021/22 season. Aidha, Haliondoi the fact kwamba mmepigwa na Prisons, Mbeya city na Kagera kwenye ligi.

Pia, haliondoi ukweli kwamba mmepigwa na Yanga mara mbili na kunyang'anywa vikombe (Sakho akiwa ndani).

My advice: shughulikeni na tatizo la kufanya vibaya kwenye AWAY GAMES (mechi za Dar mmefanya vzr kuliko Yanga). Vinginevyo mtaendelea kushangilia goli bora hadi mwakani
Usitupangie
 
Dj mlete Sakho na kiatu chake cha AFRICA. VIVAAAA SIMBA
 
Hahahaa. Amka usingizini Mtani hizi kauli zako ni kama umelala unaota. [emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani utulie, maumivu enyewe yanakujaaa.
 
Jaman hili ni goli tuuuuu na haliondoi ukweli kuwa mmekuwa na poor performance in 2021/22 season. Aidha, Haliondoi the fact kwamba mmepigwa na Prisons, Mbeya city na Kagera kwenye ligi.

Pia, haliondoi ukweli kwamba mmepigwa na Yanga mara mbili na kunyang'anywa vikombe (Sakho akiwa ndani).

My advice: shughulikeni na tatizo la kufanya vibaya kwenye AWAY GAMES (mechi za Dar mmefanya vzr kuliko Yanga). Vinginevyo mtaendelea kushangilia goli bora hadi mwakani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa kaandika kwa maumivu makali sana...meza panadol na maji meeeeengi then tulia kama dk kumi hv utakuw sawa mkuu
 
Mwenye ng'ombe alifunga magori mazuri sana msimu huu. Akapewa tuzo, lkn mashabiki wa Yanga wametulia tu. Ila nyie hamlali kwa goli la Sakho

Sasa baba uhangaike na tuzo ya goli la nbc akati hata ngushi alipiga akiwa mbeya kwanza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15]lile la sakho ni la Africa lazima roho iume tuu hamna namna..pole lakini inatokeaga
 
Simba msimu huu hawakua na cha kushangilia..ndiyo maana ukaona wakaamua
1) wamshabikie george mpole
2)Sopu
3)Washangilie Mayele kukosa kuwa mfungaji bora
4)Washangilie eti Yanga hajasafiri kwenda pre season camp
5)Washangilie Haji Manara kufungiwa miaka miwili
6)Washangilie usajiri
7)Na sasa Goli la Sakho..ambalo ukilipima na lile la Mayele la tik tak kali alilolifunga ktk ligi yetu la Mayele ni bora zaidi tena mara tatu! Ni vile tu CAF hawajaliona.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app

Basi tutampa ile tuzo mayele usjali
 
Jaman hili ni goli tuuuuu na haliondoi ukweli kuwa mmekuwa na poor performance in 2021/22 season. Aidha, Haliondoi the fact kwamba mmepigwa na Prisons, Mbeya city na Kagera kwenye ligi.

Pia, haliondoi ukweli kwamba mmepigwa na Yanga mara mbili na kunyang'anywa vikombe (Sakho akiwa ndani).

My advice: shughulikeni na tatizo la kufanya vibaya kwenye AWAY GAMES (mechi za Dar mmefanya vzr kuliko Yanga). Vinginevyo mtaendelea kushangilia goli bora hadi mwakani
Hata Yanga wakitamba na Ng'ombe
 
Back
Top Bottom