Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makolo...yanageuzwa geuzwa Kila siku[emoji23]We angalia akili za members kama OKW BOBAN SUNZU , GENTAMYCINE , Scars , United ya Ferguson nk ndo utajua simba ilivo na safari ndefu kufikia mafanikio.
Unajisikiaje kuona ni Kolo tu ndo aliyekandwa mkuu???[emoji23]We jamaa acha kuwa kwa kutumia kalio Simba ina sifuri, petro ina sifuri tp mazembe ina sifuri.......
Yaani hapo ukiondoa Al ahly pekee hao wengine wote wapo sawa na Simba.
Au unataka kuwaaminisha [emoji196][emoji196]hawana sifuri?
[emoji196][emoji196]Kichwa panzi wahed mkubwa [emoji1]
Hao walifungwa nyumbani ndio watakaoshinda ugenini na hao waliodraw nyumbani ndio watakaochezea vichapo ugenini . Tunza hii post.First leg timu zoote zimesuluhu, kasoro vibonde mwakarobo.
Wanatamani draw ya Jana ingekuwa Yao. Kinje kitile yupo Tu anawaongopea 😂Makolo wanahasira mkuu[emoji23][emoji23]
Mkuu hakuna cha hasira wala nini. Tunachosema ni ukweli hapa hakuna ambae ameshafuzu kila timu bado ina nafasi.Hasira za Nini Mkuu [emoji23][emoji23] ebu mpelekee hasira zako Al ahly
Quality ya kupaki bus??Quality ya Yanga itawatesa mpaka wote akili ziwakae Sawa.
🤣🤣🤣Ningesema mimi ningeshambuliwa bora umesema wwWe angalia akili za members kama OKW BOBAN SUNZU , GENTAMYCINE , Scars , United ya Ferguson nk ndo utajua simba ilivo na safari ndefu kufikia mafanikio.
Hapana ya kutiwa kamoja Ka nguruweQuality ya kupaki bus??
HakikaMkuu hakuna cha hasira wala nini. Tunachosema ni ukweli hapa hakuna ambae ameshafuzu kila timu bado ina nafasi.
Kama simba angefungwa zaidi ya goli Moja ningekwambia mwendo kaumaliza. Lakini kwa hilo goli Moja bado nafasi anayo iwapo atasahihisha nakosa yake.
Ulitegemea kwenye lile kombe la AFL simba atoe draw na Ahly kule cairo tena Ahly kutanguliwa kufungwa?
Tuziombee timu zetu zifuzu badala ya huu ushabiki usio na tija kwa taifa letu.
Daima mbele nyuma mwiko ,
#Simba nguvu Moja#
Wamebaki na hesabu za vidole. Wakiambiwa ni wabovu wanakaza shingo.Kauli ya Kwa mkapa hatoko mtu ....imeyeyuka kama maji