Simba waombe msamaha wameaibisha taifa

Simba waombe msamaha wameaibisha taifa

Mkuu hakuna cha hasira wala nini. Tunachosema ni ukweli hapa hakuna ambae ameshafuzu kila timu bado ina nafasi.

Kama simba angefungwa zaidi ya goli Moja ningekwambia mwendo kaumaliza. Lakini kwa hilo goli Moja bado nafasi anayo iwapo atasahihisha nakosa yake.

Ulitegemea kwenye lile kombe la AFL simba atoe draw na Ahly kule cairo tena Ahly kutanguliwa kufungwa?

Tuziombee timu zetu zifuzu badala ya huu ushabiki usio na tija kwa taifa letu.

Daima mbele nyuma mwiko ,
#Simba nguvu Moja#
1. Usipoteze muda na Laban ni Chura mtiifu na sasa yupo dimbwini kashiba wadudu, kushindana naye kukoroma ni kujitafutia tatizo la kansa ya koo. Huu ni wakati wake. Yanga inafanya vizuri.

2. Acha unafiki. Hakuna timu zinaitwa timu zetu, timu yetu ni Taifa stars. Furaha ni kumuona mpinzani wako anaukosa ubingwa.

Unadhani Simba jina la mwakarobo tulijipa? Tumepewa na vyura na wanatamani mwaka huu walitumie tena.

Yanga ikibeba ubingwa itatembeza kombe mtaa kwa mtaa na Simba tutajifungia ndani kwa unyonge sana.

Hakuna sababu ya kuwa mnafiki kuwa shabiki wa Simba utaiombea Yanga ipite nusu fainali. Si kweli.
 
Makolo wameinvest mpira wa mdomoni ( wakizamani) huku wakimtegemea Ahmed ally Kwa propaganda ili kushinda.... mfano...kawajaza mashabiki kuwa waanze kuhesabu magoli ....Baada ya kufika 3 [emoji23][emoji23]......

Baada ya kukandwa...kasema Simba ni timu ya maajabu
Huku wakisahau kuwa mpira ni uwekezaji ya kutafuta quality players, na vipengele vyake ....Simba imeaibisha taifa Kwa kufungwa home by ground jambo ambalo ni fedheha sana

Nb makolo wajue ...soka halichezwi mdomoni[emoji23][emoji23]View attachment 2950045
Aaahaaa

Asante ndugu mchambuzi

We ndo mchambuzi #1 hapa jf
 
1. Usipoteze muda na Laban ni Chura mtiifu na sasa yupo dimbwini kashiba wadudu, kushindana naye kukoroma ni kujitafutia tatizo la kansa ya koo. Huu ni wakati wake. Yanga inafanya vizuri.

2. Acha unafiki. Hakuna timu zinaitwa timu zetu, timu yetu ni Taifa stars. Furaha ni kumuona mpinzani wako anaukosa ubingwa.

Unadhani Simba jina la mwakarobo tulijipa? Tumepewa na vyura na wanatamani mwaka huu walitumie tena.

Yanga ikibeba ubingwa itatembeza kombe mtaa kwa mtaa na Simba tutajifungia ndani kwa unyonge sana.

Hakuna sababu ya kuwa mnafiki kuwa shabiki wa Simba utaiombea Yanga ipite nusu fainali. Si kweli.
Kila mtu ashinde mechi zake
 
Ngoja waje natakwimu
90ed0365e08a4d1d862d78523ec7c7fe.jpg
 
Hakuna cha ajabu hapo team 7 zipo na 0 na wewe kwa upumbavu wako unakaza fuvu Simba kakandwa, hivi [emoji196][emoji196]hamjakandwa mna goli ngapi mpaka sasa?

Acha kuwaza kwa kutumia makario dogo
Hii inaonyesha kolo ndo myonge pale mjini robo fainali [emoji23]
 
Nimekuuliza [emoji196][emoji196]mna goli ngapi unakenua tu domo kama mpiganyeto wa kihansi, hebu leta majibu acha kujishebedua kama watu wa free entrance kwa Mkapa jana
Makolo... kwaherini... Asante Kwa kushiriki CAF champions league
 
Huyu amed ally nikisikiliza press zake huwa nacheka sana. Kama kuna ambaye anamchukulia siriaz bila shaka hayupo sawa kichwani. Ila napenda style yake ya kuamasisha na namna anavyotutania wananchi, jamaa hachochei uadui halafu hana kashfa na maneno ya shombo kama manara alivyokua simba.
 
Huyu amed ally nikisikiliza press zake huwa nacheka sana. Kama kuna ambaye anamchukulia siriaz bila shaka hayupo sawa kichwani. Ila napenda style yake ya kuamasisha na namna anavyotutania wananchi, jamaa hachochei uadui halafu hana kashfa na maneno ya shombo kama manara alivyokua simba.
Ahmed ally mafanikio ya yanga Yana mpain sana
 
Back
Top Bottom