Simba wapata hasara milioni 638

Sasa si ungemshauri angeweka walau milioni ngapi za madafu! Maana hasara kwa namna yoyote ile haikwepeki baada ya kupigwa faini na pia kufungiwa na CAF.
Data siyo mambo ya kushauriana, ni ama unazo au hauna. Kwani unadhani nyie mnavyokwenda uwanjani mpaka mpewe supu na tiketi za bure na bado hamjazi uwanja klabu yenu haiingii hasara kila siku?
 
Kwahyo Rabani umeamua kujionyesha jinsi ulivyokua unachomoa viti...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…