Uzalendo hauingii kucheza uwanjani hata wao wanajua target Yao ni nusu ambapo hapo napo kufika ni ngumu labda wakutane na ESP ila hao masandawana na wydad ni hapana Morroco wako kwenye prime ya mpira kwa Sasa hawako tayari kupoteza kwenye mashindano ya Afrika Mamelody alimaliza mechi mapema akahifadhi nguvu ya robo final maana pamekuwa pakimsumbuaKuwa MZALENDO.....Kwann Simba asichukuwe
Mkuu so unakubaliana na hizi HUJUMA....kupewa 3%Uzalendo hauingii kucheza uwanjani hata wao wanajua target Yao ni nusu ambapo hapo napo kufika ni ngumu labda wakutane na ESP ila hao masandawana na wydad ni hapana Morroco wako kwenye prime ya mpira kwa Sasa hawako tayari kupoteza kwenye mashindano ya Afrika Mamelody alimaliza mechi mapema akahifadhi nguvu ya robo final maana pamekuwa pakimsumbua
Shalulile alipangua beki ya Cameroon imagine Onyango [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio hujuma, watu waliosoma hesabu hadi walau A Level wanaelewa sana maana ya probability. Wengine ambao hawakulazimika kuzisoma lakini wanazitumia, ni wazee wa kuweka mzigo, yaani betting. Lakini mwingine akiona 3% au 0.03 basi anajua ni karibu na zero, anaacha kupigia hesabuMkuu so unakubaliana na hizi HUJUMA....kupewa 3%
Wamependelewa kifupi ni 0.001Mkuu so unakubaliana na hizi HUJUMA....kupewa 3%
Chapisho la Africa soccer zone kulingana na ubobezi wake limetoa % za timu zinazoweza kuchukua ubingwa wa CAFCL kama ifuatavyo. Probability of winning the CAF Champions League according to @AfricaSoccer_zn [emoji102][emoji471].
NIMECHEKA SANA HAPA KAMA MAZURI VILE...underdog for lifeChapisho la Africa soccer zone kulingana na ubobezi wake limetoa % za timu zinazoweza kuchukua ubingwa wa CAFCL kama ifuatavyo MAKOLO ni WA mwisho Wana 3%
Probability of winning the CAF Champions League according to @AfricaSoccer_zn [emoji102][emoji471].
1. Mamelods = 26%
2 Wydadi Casablanca= 19%
3 Al ahly = 16%
4 Raja Casablanca= 13%
5 Esperence de Tunis = 10%
6 CR belouizidad = 8%
7 Js Kabyalje = 5%
8 SIMBA = 3%
#TotalEnergiesCAFCL #TotalEnergiesCAFCC
Je unadhani tumeonewa......& Unampa % ngapi mnyama ( dunduka FC ) kuchukua ubingwa????View attachment 2576981
Weme tu undermine mkuuSio hujuma, watu waliosoma hesabu hadi walau A Level wanaelewa sana maana ya probability. Wengine ambao hawakulazimika kuzisoma lakini wanazitumia, ni wazee wa kuweka mzigo, yaani betting. Lakini mwingine akiona 3% au 0.03 basi anajua ni karibu na zero, anaacha kupigia hesabu
Kwakweli...tumempiga mtu saba nunge ndo na bado wanatufanyia hv dahh!!!Hizi ni HUJUMA[emoji23][emoji23]