fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Mpira wa miguu ni mchezo usiotabirika kabisaChapisho la Africa soccer zone kulingana na ubobezi wake limetoa % za timu zinazoweza kuchukua ubingwa wa CAFCL kama ifuatavyo MAKOLO ni WA mwisho Wana 3%
CC
Je unadhani tumeonewa......& Unampa % ngapi mnyama ( dunduka FC ) kuchukua ubingwa????View attachment 2576981