Simba warudia tena kosa lingine kwenye usajili

Simba warudia tena kosa lingine kwenye usajili

Nope Mane moja ya sababu iliyo mfanywa aachwe ,hayupo kwenye mpango wa kocha na pili ule ugomvi wake na Sane umechangia jamaa kuwekwa sokoni na bado huko alipo enda kabla hajasajiliwa kapimwa afya full body checkup na ndio maana kasaini mkataba na timu yake mpya.

Hicho ulicho kizungumza kipo hata kwa Jack Wilshare alivyo rudi Arsenal waliingia Contract, ila walikuwa wanamtizama utimamu wake wa kimwili,then ndio waingie full contract na mchezaji.

Ila huku kwetu sisi hatuna hii na ndio maana timu zetu kupitia wahuni wa hizi club wanatupiga kila siku,kwa kutuletea vimeo.
Hoja yangu ni kuwa Bayern Munich wamemuuza kwa hasara na hajatumikia club kwa mkataba wake. Wewe unadhani ingekuwa huku kwetu tungeweza kumuuza mchezaji kwa hasara ambaye bado yuko kwenye ubora wake kisa kocha anasema hayupo kwenye mipango yake au amegombana na mchezaji mwingine? Unajua yanayoendelea huko makambini kwa timu zetu na bado tunabaki na wachezaji?

Nwankwo Kanu alifanyiwa surgery ya moyo ambayo madaktari walimwambia career yake imekwisha ila alirudi Inter baadaye akaenda Arsenal na aliendelea kuupiga mpira mwingi tu.

Afya ya mchezaji ni zaidi ya hiyo checkup wakati wa usajili. Mbona Simba ya msimu uliopita watu walikuwa wanalalamika wachezaji hawakuwa fiti sana, wewe unadhani ni kwa sababu ya checkup ya mwanzoni mwa msimu? Si watu walikuwa wanasema fitness coach hatoshi?
 
Mbona nilisha kujibu.

"......kuhusu Azam na Yanga sikuwaona wakiwa check afya wachezaji wao,ila mlicho fanya nyinyi hata ukienda kwenye hospital hizi kubwa hasa za private kabla ya kumuona daktari lazima wavicheki (presha,joto na uzito) ,ambapo naona havina maana kwa mchezaji anayetakiwa kusajiliwa na club......."

Sio mtaalamu wa Afya ila unaweza kuangalia hapa, vitu wanavyo vicheck.

"
The first part of the medical will be undertaken by the club doctor, who will ascertain the player's medical history during the subjective examination. In the case of a foreign player, it may be necessary for the player's agent and/or interpreter to be present.

The club doctor will check for any previous significant illnesses and ask if the player has had any operations in the past. In addition, the doctor will check the family history of the player, which may be indicative of hereditary conditions.

Apart from major illnesses or operations, the doctor will check for past sporting injuries, which should be recorded in the player's medical file, made available by the selling club. This will give a picture of how often the player has missed training or matches and if the player has had any recurrent injuries such as hamstring strains or ankle sprains.
The subjective examination is followed by a thorough physical examination of all muscles and joints. The doctor and physiotherapist will assess the range of motion in each joint and compare it with the normal values. Some football clubs use isokinetic devices which give an indication of muscle strength. Some conditions can reveal themselves due to characteristic readouts from this machine.

The findings of the subjective and objective examinations will lead the doctor to order more specific diagnostic tests if required.

If a problem arises, it may be necessary to refer the player on to a consultant, who can assess the player and advise the buying club on his medical status and prognosis. These supposedly routine examinations take three days, since the buying club must arrange for the player to see the consultant and have diagnostic tests at very short notice."

Nadhani ukisoma hayo maelezo ndipo utajua wenzetu wapo serious hasa kwenye rasilimali za club.
Maelezo yote hayo uliyoyacopy yanahusu kucheki historia ya nyuma ya afya ya mchezaji ambayo iko katika makaratasi. Kitu pekee hapo walichosema kinachohusiana na hizo mashine zinazokuogopesha ni "The subjective examination is followed by a thorough physical examination of all muscles and joints". Sasa hilo ni la kupeleka wachezaji South Africa?

Point yangu ya msingi ni kuwa ushauri wako ungejikita kuhimiza uanzishwaji na uboreshaji wa vituo vya afya vya michezo. Ila kumbuka hata vikiwepo, biashara ya mpira inahusisha kutake risk hata kwa wachezaji wenye historia za majeraha, timu huwa zinafanya tathmini tu kujua kama waendelee naye. Wewe unataka mchezaji yoyote mwenye historia ya majeraha asisajiliwe.

Soma hapa:
If a problem arises, it may be necessary to refer the player on to a consultant, who can assess the player and advise the buying club on his medical status and prognosis
 
Hoja yangu ni kuwa Bayern Munich wamemuuza kwa hasara na hajatumikia club kwa mkataba wake. Wewe unadhani ingekuwa huku kwetu tungeweza kumuuza mchezaji kwa hasara ambaye bado yuko kwenye ubora wake kisa kocha hamtaki au amegombana na mchezaji mwingine? Unajua yanayoendelea huko makambini kwa timu zetu na bado tunabaki na wachezaji?

Nwankwo Kanu alifanyiwa surgery ya moyo ambayo madaktari walimwambia career yake imekwisha ila alirudi Inter baadaye akaenda Arsenal na aliendelea kuupiga mpira mwingi tu.

Afya ya mchezaji ni zaidi ya hiyo checkup wakati wa usajili. Mbona Simba ya msimu uliopita watu walikuwa wanalalamika wachezaji hawakuwa fiti sana, wewe unadhani ni kwa sababu ya checkup ya mwanzoni mwa msimu? Si watu walikuwa wanasema fitness coach hatoshi?
Nope kwanza ulaya hawarisk ,mpaka umemuona Nwanko Kanu kacheza wataalamu walishatoa go ahead kwamba huyu ana utimamu wa kuendelea kucheza.

Kun Aguero na Barca,Fabrice Muamba na Spurs,hawa unazani kwa nini hawa kurudi?

Ukimuona mchezaji kaumia then anacheza hiyo club kaa ukijua kuna makubaliano maalum kati ya huyo mchezaji na club mfano Arsenal na Wilshare (Wilshare hakuwa na tatizo moyo bali goti). Ila kwa maswala ya moyo kama critical, huruhusiwi kucheza kwenye ligi yoyote ulaya. Ukiona mchezaji Ericksen Man Utd,Kanu Arsenal wale una waona wanacheza sababu tayari wataalam wamecheki na kujirizisha ,wanaweza kucheza mpira bila tatizo lolote.

Utimamu wa mwili unaweza ukakuta mchezaji hana tatizo la kiafya, ila hana mazoezi ya kutosha so kocha wa viungo ndio inakuwa kazi yake ya kujenga utimamu wa mwili na utimamu wa kiafya huchekiwa na daktari. Wenzetu ulaya wana mpaka wana saikolojia wa club kwa ajili ya kujenga utimamu wa akili ya mchezaji, bongo sijui kama tunao.

Na unaweza ukawa na utimamu wa mwili (mazoezi),ila kiafya ukawa haupo vizuri, Fabrice Muamba alikuwa mtu kweli kweli,kwa nje alikuwa physically fit ila kumbe anatatizo la moyo.
 
"......kuhusu Azam na Yanga sikuwaona wakiwa check afya wachezaji wao,ila mlicho fanya nyinyi hata ukienda kwenye hospital hizi kubwa hasa za private kabla ya kumuona daktari lazima wavicheki (presha,joto na uzito) ,ambapo naona havina maana kwa mchezaji anayetakiwa kusajiliwa na club......."
Screen Shot 2023-07-30 at 7.54.29 PM.png

Screen Shot 2023-07-30 at 8.06.19 PM.png


Na hao ni AZAM na wana hela zao. Yaani unasema kabisa kupima presha na uzito hakuna maana kwenye afya ya mchezaji? Nadhani ungeuliza kama wanapima misuli na viungo, na naamini vifaa vipo ila labda siyo kwa wingi ila kusema tu kiujumla kuwa kinachofanyika hakina maana unakosea
 
Nope kwanza ulaya hawarisk ,mpaka umemuona Nwanko Kanu kacheza wataalamu walishatoa go ahead kwamba huyu ana utimamu wa kuendelea kucheza.

Kun Aguero na Barca,Fabrice Muamba na Spurs,hawa unazani kwa nini hawa kurudi?

Ukimuona mchezaji kaumia then anacheza hiyo club kaa ukijua kuna makubaliano maalum kati ya huyo mchezaji na club mfano Arsenal na Wilshare (Wilshare hakuwa na tatizo moyo bali goti). Ila kwa maswala ya moyo kama critical, huruhusiwi kucheza kwenye ligi yoyote ulaya. Ukiona mchezaji Ericksen Man Utd,Kanu Arsenal wale una waona wanacheza sababu tayari wataalam wamecheki na kujirizisha ,wanaweza kucheza mpira bila tatizo lolote.

Utimamu wa mwili unaweza ukakuta mchezaji hana tatizo la kiafya, ila hana mazoezi ya kutosha so kocha wa viungo ndio inakuwa kazi yake ya kujenga utimamu wa mwili na utimamu wa kiafya huchekiwa na daktari. Wenzetu ulaya wana mpaka wana saikolojia wa club kwa ajili ya kujenga utimamu wa akili ya mchezaji, bongo sijui kama tunao.

Na unaweza ukawa na utimamu wa mwili (mazoezi),ila kiafya ukawa haupo vizuri, Fabrice Muamba alikuwa mtu kweli kweli,kwa nje alikuwa physically fit ila kumbe anatatizo la moyo.
Naona sasa unazungukazunguka tu sijui hata hoja yako iko wapi
 
View attachment 2703193
View attachment 2703196

Na hao ni AZAM na wana hela zao. Yaani unasema kabisa kupima presha na uzito hakuna maana kwenye afya ya mchezaji? Nadhani ungeuliza kama wanapima misuli na viungo, na naamini vifaa vipo ila labda siyo kwa wingi ila kusema tu kiujumla kuwa kinachofanyika hakina maana unakosea
Kwa mchezaji mpya hakuna maana.

Sasa kwa mchezaji ambayo ana tatizo sugu la goti na misuli ,ambayo humjui hujui history yake unataka kumsajili,utampima kwa style hiyo?

Mimi point yangu ni kwa wachezaji wapya tusio wajua tunao wataka kuwasaili,kwani mwisho wa siku club ndizo zina ingia hasara. Huyo kipa wa Simba,sasa hivi unazani Simba watakuwa na hali gani,maana itawalazimu wavunje mkataba.
 
Kwa mchezaji mpya hakuna maana.

Sasa kwa mchezaji ambayo ana tatizo sugu la goti na misuli ,ambayo humjui hujui history yake unataka kumsajili,utampima kwa style hiyo?

Mimi point yangu ni kwa wachezaji wapya tusio wajua tunao wataka kuwasaili,kwani mwisho wa siku club ndizo zina ingia hasara. Huyo kipa wa Simba,sasa hivi unazani Simba watakuwa na hali gani,maana itawalazimu wavunje mkataba.
Kwani Sawadogo uliyemtolea mfano, historia yake ilikuwa haijulikani wakati Simba inamsajili? Na kama ulikuwa una maana ya wachezaji wapya, mbona uliweka picha ya Kapombe ukabeza zoezi lililokuwa linafanyika?

Na unaposema kumpima mchezaji mpya uzito na pressure hakuna maana kunanifanya nitamani kumaliza huu mjadala na wewe.
 
Kwani Sawadogo uliyemtolea mfano, historia yake ilikuwa haijulikani wakati Simba inamsajili? Na kama ulikuwa una maana ya wachezaji wapya, mbona uliweka picha ya Kapombe ukabeza zoezi lililokuwa linafanyika?

Na unaposema kumpima mchezaji mpya uzito na pressure hakuna maana kunanifanya nitamani kumaliza huu mjadala na wewe.
Kwa kilicho tokea kwa Sawadogo bila shaka medical history yake ilikuwa haifahamiki na ndio maana alikuwa hachezi mara kwa mara.

Sababu hiyo picha ndiyo niliyo ipata na wote walifanyiwa kwa style hiyo. So kwa hiyo unacho maanaisha hao wapya hawa kufanyiwa full check up?

So kuhusu kumaiza mjadala unaweza ukaacha au ukaendelea nao kwani mimi nimezungumza kitu general kinacho gusa timu zote, ambacho kipo na kishawahi kutokea na kinaendelea kutokea hata misimu mengine ijayo.
 
SIMBA NA MAWINGA TISA 2020 MAWINGA TISA

Katika kikosi cha Simba msimu uliopita ukiachana na Luis Miquissone na Chama ambao wameuzwa, wamebaki wachezaji wengine watano ambao wanacheza katika nafasi ya winga.

Wachezaji hao watano ambao msimu uliopita walicheza kama mawinga walikuwa Perfect Chikwende, Morrison,

Dilunga, Bwalya na Ajibu ambaye alijiondoa katika kikosi kabla ya kumaliza mechi za msimu na sasa yupo kamili.

Katika dirisha hili la usajili ambalo linaelekea ukingoni wamesajiliwa wachezaji wanne ambao wanaweza kucheza kama mawinga, na kati yao lazima wawili watacheza na wengine watakuwa benchi.

Mawinga ambao wamesajiliwa dirisha hili na itakuwa sio rahisi kwao kucheza kikosi cha kwanza iwapo hawatakaza msuli ni Peter Banda, Pape Sakho, Duncan Nyoni na Yusuph Mhilu. Kutokana na hali hiyo ni wazi usajili wa mawinga wanne na wale watano ambao walimaliza na kikosi msimu uliopita kuna wapya kwenye mechi nyingi wataishia benchi au kukaa jukwaani.
 
Kwa kilicho tokea kwa Sawadogo bila shaka medical history yake ilikuwa haifahamiki na ndio maana alikuwa hachezi mara kwa mara.

Sababu hiyo picha ndiyo niliyo ipata na wote walifanyiwa kwa style hiyo. So kwa hiyo unacho maanaisha hao wapya hawa kufanyiwa full check up?

So kuhusu kumaiza mjadala unaweza ukaacha au ukaendelea nao kwani mimi nimezungumza kitu general kinacho gusa timu zote, ambacho kipo na kishawahi kutokea na kinaendelea kutokea hata misimu mengine ijayo.
Screen Shot 2023-08-01 at 11.52.37 AM.png


Screen Shot 2023-08-01 at 11.52.59 AM.png


Haya, tuonyeshe wachezaji wa Yanga, wapya au wa zamani wakipimwa hata uzito
 
Check nazo zingumzia mimi ni kama hizi.
View attachment 2703118

View attachment 2703119

Wenzetu mchezaji kabla hawaja msainisha mkataba wanamcheki afya kiundani zaidi.Ziyech mchezaji wa Chelsea alitakiwa kusajiliwa uarabuni, ila aligota kwenye vipimo vya afya. Ila si Simba,Yanga wala Azam ambao huwafanyia wachezaji wapya,full body check kabla ya kuwasainisha mkataba.


Sisi huku vipimo tuvifanyavyo hata ww ukiumwa unafanyiwa,ukienda pale hospitalini,watapima uzito,presha na joto ndicho mlicho kifanya kwa wachezaji wenu wapya na wazamani.
View attachment 2703120
Tunaona ubahili kuwatumia maprofessional wazuri wa afya na vifaa vya kisasa,baadae mchezaji anakuja kuigharimu timu kwenye kumtibia na kwenye kuvunja mkataba.
Hapo Kapombe anapimwa Safura au kichocho [emoji23][emoji23]

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Simba Wamesajili kwa KUKURUPUKA na MIHEMUKO.

Wamesajili kwa LENGO la kuwafurahisha Mashabiki.

Simba hawana Beki
Hawana kiungo mkabaji.

WANARUDIA MAKOSA Kila wakati.
Mwaka 2020 walikuwa na mawinga 11.
1. Perfect CHIKWENDE.
2. BENARD MORISON.
3. Dunkan Nyoni.
4. Pape sakho.
6 peter Banda.
7. Hassan Dilunga.
8. Ibrahim Ajibu.
9. Hassan Dilunga.
10. Muhilu.

MWAKA 2023 WANARUDIA YALE YALE.

1. KIBU Denis.
2.Saido ntibazonkiza.7 to 10.
3 CLOTUS chama 10 to 11.
4. Essomba Onana.
5. Aubin Kramo.
6.jimyson mwinuke.
7. Luis Miguisson

( Peter Banda )

ALEX FERGASON KOCHA BORA WA DUNIA ANASEMA.

"Safu Bora ya ushambuliaji itafunga MAGOLi. Safu Bora ya ulinzi itakupa Mataji.".

MSIMU uliopita Simba Alikuwa na MAGOLi zaidi ya 100.
Mataji 0.

LIGI KUU 75.
CAF CL.
AZAM FC

WAMECHAGUA MAGOLI NA SI MATAJI.
 
Back
Top Bottom