Kwa nmna nyingine hio ni fungulia [emoji240][emoji240]Fungulia Mbwa Mechi ya kimataifa? Msitufanyie hivyo wakuu!!
Kihasibu hii imekaaje? Ni dalili ya nini?Rais wa Heshima wa klabu ya Simba Mohamed Dewij ameshusha viingilio vya mzunguko toka sh.5000 Hadi 3000 Kwa tiketi. Mheshimiwa Mo amesema amelazimika kufanya hivyo Kwa kuheshimu nafasi ya mashabiki kama nguzo muhimu kwenye timu. Mwisho wa kunukuu.
Haya ni mapenzi Makubwa aliyoyaohyesha Rais Kwa mashabiki hivyo tumuunge mkono Kwa kwenda Kwa wingi uwanja wa Mkapa tarehe 25.11.2023.
View attachment 2822413
Ili kuwafariji mashabiki wao kwa kipigo cha 5:1 wangeruhusu mashabiki waingie bure uwanjani.Rais wa Heshima wa klabu ya Simba Mohamed Dewij ameshusha viingilio vya mzunguko toka sh.5000 Hadi 3000 Kwa tiketi. Mheshimiwa Mo amesema amelazimika kufanya hivyo Kwa kuheshimu nafasi ya mashabiki kama nguzo muhimu kwenye timu. Mwisho wa kunukuu.
Haya ni mapenzi Makubwa aliyoyaohyesha Rais Kwa mashabiki hivyo tumuunge mkono Kwa kwenda Kwa wingi uwanja wa Mkapa tarehe 25.11.2023.
View attachment 2822413
Kwako CPA OKW BOBAN SUNZUKihasibu hii imekaaje? Ni dalili ya nini?
Tafadhali naomba majibu ya kitaalam kutoka kwa yule Mwasibu wenu wa Kimataifa.
Hayo wanayaweza majirani,Hamna fungulia mbwa?
Bado hainifanyi nibadilishe msimamo wanguSasa tushindwe wenyewe. Buku 1, 2,3 uko Kwa Mkapa.View attachment 2822415
Duh!Bado hainifanyi nibadilishe msimamo wangu
Siendi
Jikongoje doze doze ukajaze uwanja, urafiki ni wakati wa shida na rahaBado hainifanyi nibadilishe msimamo wangu
Siendi