Simba wasikilize mashabiki bila hivo nendeni uwanjani wenyewe

Simba wasikilize mashabiki bila hivo nendeni uwanjani wenyewe

1. Matola atoke hapo benchi apewe hata timu ya vijana.

2. Mashabiki walishashauri Simba waache mazoezi ya wazi, mnajifanya modern football ,mwenzako anasoma mbinu yako ya mchezo we humsomi. Yanga wanafungwa na timu za hovyo za kimataifa maana hawaoni mbinu zao lakini kwetu sisi ni draw na kipondo. Mtu haogopi faini anaruka ukuta kila mwaka na kuingia mlango wa nyuma ataogopa kukuloga?.
Sometimes unajiuliza huyu kocha hajalogwa hadi analeta kikosi cha ajabu?


3. Foward Phiri hatoshi ongezeni Manzoki huyo mzungu kabla ya kumfukuza mwekeni kwanza sero siku 3 kwa aibu aliyotutia.

4. Huyo Zohan aangaliwe vizuri mechi ya kwanza ya ligi na Geita Gold draw ikitokea tusionane wabaya.

N:B mnatuvunja moyo mashabiki ,jezi kwanza hamjatuomba msamaha na tunaanzaa msimu bila kikombe na pre season mnafanyia uturuki.

Unampangaje Mwenda acheze dk zote hata kupiga cross ni shida na umemwacha Kapombe nje? Unamtoa Chama ukidhani umemaliza mchezo unamleta Mzamiru.

Mfungwe tu akili ziwakae sawa.
Mbu3 umeongea kiuchungu sana,kaa kwa kutulia halafu utueleze shida ni mazoezi ya wazi,mzungu,matola au kocha maana umepandikiza vitu kibao 😂
 
Kama Yanga anafungwa na timu za hovyo, basi hata Simba anafungwa na timu za hovyo.

Kwa game ya leo, Kocha Zoran ndo Kiini cha matokeo.
Bado sijaelewa, sijui kocha hajaijua first eleven yake, naona kama anabahatisha kwenye maamuzi yake.
 
Yanga bado ni timu mbovu tuu. Sioni kama kuna kitu kikubwa wanacho kuliko simba
Na mtaendelea kuchezea kichapo mpaka akili ziwakae sawa Kama akili zenu ndo hizi mpaka siku mtakapokubali kuwa kwasasa mnazidiwa ubora na yanga kwa mbali Sana, Mtatubu bila kupenda dadadeki!
 
1. Matola atoke hapo benchi apewe hata timu ya vijana.

2. Mashabiki walishashauri Simba waache mazoezi ya wazi, mnajifanya modern football ,mwenzako anasoma mbinu yako ya mchezo we humsomi. Yanga wanafungwa na timu za hovyo za kimataifa maana hawaoni mbinu zao lakini kwetu sisi ni draw na kipondo. Mtu haogopi faini anaruka ukuta kila mwaka na kuingia mlango wa nyuma ataogopa kukuloga?.
Sometimes unajiuliza huyu kocha hajalogwa hadi analeta kikosi cha ajabu?


3. Foward Phiri hatoshi ongezeni Manzoki huyo mzungu kabla ya kumfukuza mwekeni kwanza sero siku 3 kwa aibu aliyotutia.

4. Huyo Zohan aangaliwe vizuri mechi ya kwanza ya ligi na Geita Gold draw ikitokea tusionane wabaya.

N:B mnatuvunja moyo mashabiki ,jezi kwanza hamjatuomba msamaha na tunaanzaa msimu bila kikombe na pre season mnafanyia Misri

Unampangaje Mwenda acheze dk zote hata kupiga cross ni shida na umemwacha Kapombe nje? Unamtoa Chama ukidhani umemaliza mchezo unamleta Mzamiru.

Mfungwe tu akili ziwakae sawa.
Ikibidi tugomee kununua jezi, kulipa Simba app na kwenda uwanjani labda watabadilika hii mbinu walitumia mashabiki wa ac Milan kipindi mmiliki wake ni waziri mkuu wa Italy walimwambia asiponunua mastaa hawaingii uwanjani
 
yule kocha wetu anakung'utwa,kwanza kocha gani hana kisogo,alafu anatembea kama hana kiuno mbwa yule.
huyu kocha huyu,hivi Corona iliendaga wapi?.
 
Ikibidi tugomee kununua jezi, kulipa Simba app na kwenda uwanjani labda watabadilika hii mbinu walitumia mashabiki wa ac Milan kipindi mmiliki wake ni waziri mkuu wa Italy walimwambia asiponunua mastaa hawaingii uwanjani
Jezi zenyewe vunja bei anacheza dili ,dukani unaambiwa hamna ila hapo hapo nje inauzwa sh 100,000
 
Back
Top Bottom